Umeona kuandika kwa herufi ndogo hatuelewi, ikabidi uongeze na herufi kubwa baada ya zile bold kutokuleta matunda pia.Wazanzibar waliopo bara ni wengi mno kiasi endapo wanarudi znz sijui watakaa wapi?, USHOGA NI MBAYA SANA, KWA SABABU UNATUMIA MAUMBILE TOFAUTI NA ILIVYOPANGWA NA MUUMBA YOU JUST GO VICEVERSA!, KATIKA KILA JAMBO!, UMOJA NI NGUVU, HUKO ULAYA WATU WANAUNGANIKA, SASA HUYO BWEGE ANASISITIZA MGAWANYIKO, A VERY STUPIDITY!
ukiona mtu anaandika anachanganya herufi kubwa na ndogo ujue anamatatizo ya ubongo,madhara ya ile sindano ya Jonson&JonsonUmeona kuandika kwa herufi ndogo hatuelewi, ikabidi uongeze na herufi kubwa baada ya zile bold kutokuleta matunda pia.
Kwani ukisema kwenye Muungano tulikosea ili tuanze upya kuna kiungo mwilini kitanyofoka?
Masuala ya muungano nchi yamewekwa katika ofisi ya makamu wa Rais ambapo pia kuna wizara na waziri anayeshughulikia muungano na mazingira.
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na makamu wa rais wajitokeze kuutetea kwa hoja mbele ya umma wa Tanzania ili kuifanya imara zaidi kama inawezekana.
Ilipaswa kabla Kinana hajajitokeza hadharani au hata baada ya yeye kujitokeza kumjibu Lissu basi makamu wa Rais Phillip Mpango akisaidiana na Waziri Jafo wajibu pia hoja za Lissu katika majukwa mbalimbali. Jambo la kushangaza mpaka sasa wote wako kimya na wanajibu watu wengine wa mbali kabisa!
Inasikitisha SanaTimu Imeishiwa Wajenga Hoja Na Wenye Majibu Sahihi Wameona Bora Kimya
Taja faida 5 zitakazopatikana kwa kuvunja muunganoHatuutaki haswaaa.
Taja faida 5 zitakazopatikana kwa kuvunja muunganoHuu muungano umekuwa laana kwa watanganyika hatuutaki
Hoja sio kuvunja muungano ni ama tuwe na muungano wa serikali moja au serikali tatu.Taja faida 5 zitakazopatikana kwa kuvunja muungano
1.Serikali ya Tanganyika itaacha kulipa Mishahara + marupurupu kwa Wabunge toka nchi jiraniTaja faida 5 zitakazopatikana kwa kuvunja muungano
Wale siyo size ya ya lisu. Lisu ni mdogo sana na size yake ni Happy na wasila na wameshamjibu tayariMasuala ya muungano nchi yamewekwa katika ofisi ya makamu wa Rais ambapo pia kuna wizara na waziri anayeshughulikia muungano na mazingira.
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na makamu wa rais wajitokeze kuutetea kwa hoja mbele ya umma wa Tanzania ili kuifanya imara zaidi kama inawezekana.
Ilipaswa kabla Kinana hajajitokeza hadharani au hata baada ya yeye kujitokeza kumjibu Lissu basi makamu wa Rais Phillip Mpango akisaidiana na Waziri Jafo wajibu pia hoja za Lissu katika majukwa mbalimbali. Jambo la kushangaza mpaka sasa wote wako kimya na wanajibu watu wengine wa mbali kabisa!