Philipo Nyandindi (O. Ten) ajiingiza katika Kilimo cha Matunda

Philipo Nyandindi (O. Ten) ajiingiza katika Kilimo cha Matunda

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Halo JF Celebrities.

Mnamkumbuka O Ten na nyimbo kama vile Akitakacho binti, Embu nicheki nk?

Jamaa hataki masikhara, saivi amewekeza katika kilimo cha mananasi, tikiti na mbogamboga huku akiwa ameajiri makumi ya vijana mkoani Morogoro.

O. Ten au Philipp Nyandindi hakusikika kitambo kwenye gemu. Namtakia kila la kheri ktk maisha ya utafutaji.

Big up O Ten.

1588257624906.png
 
Ungetuwekea picha ya sasa hivi na hayo mashamba sio kutuwekea picha ya miaka 15 iliyopita, any way hongera kwake

Sent using kidole gumba
 
Ukiona mtu amepambana Sana , badae akahamia kwenye kilimo sjui matikiti mananasi ooh nyanya , ujue ya kuwa huyo mtu ni looser , kilimo unapoanza ba climate iwe flaoudev dearourable
 
Back
Top Bottom