cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu lengo sio kumkatisha tamaa,Mkuu sio kwamba kashavuna, lahasha!! ni kwamba kipindi hiki ndiyo yupo shambani kaanza kuwekeza rasmi. Subirini mavuno, mtu akianza jambo mtieni Moyo msimbeze na kumkatisha tamaa.
Safi sana O10 ufanikiwe katika kazi yako mpya ili wengine wajifunze!!Halo JF Celebrities.
Mnamkumbuka O Ten na nyimbo kama vile Akitakacho binti, Embu nicheki nk?
Jamaa hataki masikhara, saivi amewekeza katika kilimo cha mananasi, tikiti na mbogamboga huku akiwa ameajiri makumi ya vijana mkoani Morogoro.
O. Ten au Philipp Nyandindi hakusikika kitambo kwenye gemu. Namtakia kila la kheri ktk maisha ya utafutaji.
Big up O Ten.
View attachment 1435614
Walibamba sana"Selemani Msindi na mdogo wake Philipo Nyandindi"
Kwenye ngoma moja ya Afande Selle akimshirikisha O Ten
Sent using Jamii Forums mobile app
We maza unanifurahisha sijui unawazaga niniHapo sentensi ya mwisho umeandika uxengeeee... Hueleweki
Acha uongo mkuu ,huyu jamaa anashinda geto kwa msela kila siku tunamuona,labda kama analimia geto humo.Halo JF Celebrities.
Mnamkumbuka O Ten na nyimbo kama vile Akitakacho binti, Embu nicheki nk?
Jamaa hataki masikhara, saivi amewekeza katika kilimo cha mananasi, tikiti na mbogamboga huku akiwa ameajiri makumi ya vijana mkoani Morogoro.
O. Ten au Philipp Nyandindi hakusikika kitambo kwenye gemu. Namtakia kila la kheri ktk maisha ya utafutaji.
Big up O Ten.
View attachment 1435614
Sure mkuuMwanaume lazima atanunuaaaa...linex alinyosha sana kile kiitikio
Rudisha avatar Picha yako tuliyokuzoea ya che GuevaraAnakunywa eagle na faru na anapiga mizinga kishenzi hiyo pesa ya kulimia aipate wapi?
wewe umetoa taarifa na wenzako wanatuhabarisha wanachojua , matusi ya nini? Kati ya Mwisho, Sele na O-ten mwenye nafuu ni afande Sele unamkuta mara nyingi pale Zebra bar Misufini au Mziwanda bar Iringa road anajipigia gambe lake, niliyemuona na sikuamini macho yangu ni Mwisho. Hayo mengine nawaachia muendelee na ligi yenu.Nyandindi ana nini na wewe, tatizo Watanzania wamejaa chuki sana dhidi ya wenzao. Hizo pombe zinanywewa na watu wengi na serikali imehalalisha! Hapo wewe sio ajabu ni shoga na wenzio wanakuinamisha kama starehe yako lakini hakuna anayekushambulia kwa starehe yako hiyo.
Aisee kumbe aliimba linex nilikuwa sijuiMwanaume lazima atanunuaaaa...linex alinyosha sana kile kiitikio
Rudisha avatar Picha yako tuliyokuzoea ya che Guevara
Samelioni Msindi naye analima nini au bange?Halo JF Celebrities.
Mnamkumbuka O Ten na nyimbo kama vile Akitakacho binti, Embu nicheki nk?
Jamaa hataki masikhara, saivi amewekeza katika kilimo cha mananasi, tikiti na mbogamboga huku akiwa ameajiri makumi ya vijana mkoani Morogoro.
O. Ten au Philipp Nyandindi hakusikika kitambo kwenye gemu. Namtakia kila la kheri ktk maisha ya utafutaji.
Big up O Ten.
View attachment 1435614