Philipo Nyandindi (O. Ten) ajiingiza katika Kilimo cha Matunda

Philipo Nyandindi (O. Ten) ajiingiza katika Kilimo cha Matunda

wewe umetoa taarifa na wenzako wanatuhabarisha wanachojua , matusi ya nini? Kati ya Mwisho, Sele na O-ten mwenye nafuu ni afande Sele unamkuta mara nyingi pale Zebra bar Misufini au Mziwanda bar Iringa road anajipigia gambe lake, niliyemuona na sikuamini macho yangu ni Mwisho. Hayo mengine nawaachia muendelee na ligi yenu.
Kwanini mwisho ana nini mbona alikulaga mkwanja mrefu
wewe umetoa taarifa na wenzako wanatuhabarisha wanachojua , matusi ya nini? Kati ya Mwisho, Sele na O-ten mwenye nafuu ni afande Sele unamkuta mara nyingi pale Zebra bar Misufini au Mziwanda bar Iringa road anajipigia gambe lake, niliyemuona na sikuamini macho yangu ni Mwisho. Hayo mengine nawaachia muendelee na ligi yenu.
Mwisho si alipigaga binge la mkwanja
 
Weka picha nawe
Mkuu hebu lete chanzo cha hii habar yako!

Nina hakika hakuna mtu ambae amemwona Afande sele,mwisho mwampam ba na oten siku hizi za karibuni,

Sijui niseme wamejificha ama wamejichimbia.
Chimbo lao ni morogoro kule juu kwa mkuu wa mkoa mbele milimani.Nina tabia ya kwenda mara mbili kwa week.
Yaani ki ukweli wamechoka sana utawaurumia ukiwaona,wanashinda kutwa nzima wanavuta bange tu na stori zao ni za mafanikio tu uku wamekaa bila kazi.

Huyo oten hata usiseme juzi katoka kuniomba mia tano.Hali yake ni mbaya,nashangaa mleta mada anasema kaajiri watu.

Kama yuko na picha ya oten ya mwaka huu na hayo mashamba aweke hapa.

Chanzo cha habari ni mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu lete chanzo cha hii habar yako!

Nina hakika hakuna mtu ambae amemwona Afande sele,mwisho mwampam ba na oten siku hizi za karibuni,

Sijui niseme wamejificha ama wamejichimbia.
Chimbo lao ni morogoro kule juu kwa mkuu wa mkoa mbele milimani.Nina tabia ya kwenda mara mbili kwa week.
Yaani ki ukweli wamechoka sana utawaurumia ukiwaona,wanashinda kutwa nzima wanavuta bange tu na stori zao ni za mafanikio tu uku wamekaa bila kazi.

Huyo oten hata usiseme juzi katoka kuniomba mia tano.Hali yake ni mbaya,nashangaa mleta mada anasema kaajiri watu.

Kama yuko na picha ya oten ya mwaka huu na hayo mashamba aweke hapa.

Chanzo cha habari ni mwenyewe.
Underground wa Moro walitutesa sana enzi zao, walikuwa wachoyo wa mawazo wala kusaidia wenzao watoke, kama wao., maisha kweli game.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom