Philipo Nyandindi (O. Ten) ajiingiza katika Kilimo cha Matunda

Anakunywa eagle na faru na anapiga mizinga kishenzi hiyo pesa ya kulimia aipate wapi?
Ndiyo hivyo mwenzio analima, hutaki jinyonge!! Hiyo hela ya kunya Eagle na furu zitoke wapi bila kufanya kazi. Shwaini waheed mkubwa wewe!
 
Hata ikiwa hivyo, unataka mtu anywe kinywaji gani? Unampangia cha kunywa ilihali hela sio zako?

Nisamehe sana bwana filipo nyandindi,mwana mpotevu mzee wa 'eyoo nicheki',nilikuwa nalipoti nachokifahamu kama wewe ulivyotoa taarifa unachokijua kuhusu wewe mla pombe chafu
 
Mkuu hebu lete chanzo cha hii habar yako!

Nina hakika hakuna mtu ambae amemwona Afande sele,mwisho mwampam ba na oten siku hizi za karibuni,

Sijui niseme wamejificha ama wamejichimbia.
Chimbo lao ni morogoro kule juu kwa mkuu wa mkoa mbele milimani.Nina tabia ya kwenda mara mbili kwa week.
Yaani ki ukweli wamechoka sana utawaurumia ukiwaona,wanashinda kutwa nzima wanavuta bange tu na stori zao ni za mafanikio tu uku wamekaa bila kazi.

Huyo oten hata usiseme juzi katoka kuniomba mia tano.Hali yake ni mbaya,nashangaa mleta mada anasema kaajiri watu.

Kama yuko na picha ya oten ya mwaka huu na hayo mashamba aweke hapa.

Chanzo cha habari ni mwenyewe.
 
Nisamehe sana bwana filipo nyandindi,mwana mpotevu mzee wa 'eyoo nicheki',nilikuwa nalipoti nachokifahamu kama wewe ulivyotoa taarifa unachokijua kuhusu wewe mla pombe chafu
Nyandindi ana nini na wewe, tatizo Watanzania wamejaa chuki sana dhidi ya wenzao. Hizo pombe zinanywewa na watu wengi na serikali imehalalisha! Hapo wewe sio ajabu ni shoga na wenzio wanakuinamisha kama starehe yako lakini hakuna anayekushambulia kwa starehe yako hiyo.
 

Saafii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu sio kwamba kashavuna, lahasha!! ni kwamba kipindi hiki ndiyo yupo shambani kaanza kuwekeza rasmi. Subirini mavuno, mtu akianza jambo mtieni Moyo msimbeze na kumkatisha tamaa.
 

Aongeleaye ushoga ndiye shoga mwenyewe,na inawezekana kabisa ukawa ndio mwalimu wao,acha pombe chafu konk la mashoga anti fridaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…