ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Amteue Prof Assad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli kabisa aling'olewa baada ya kufanya mchezo mchafu. Alipandisha bosho kwa bodi ya wakurugenzi, bodi nayo ikamuongezea muda baada ya muda wake kumalizika, hapo ndipo biriani ikaingia mchanga, Hiiiiiiiiiiii baghoshaaa tulilaliwa mnoHii ni africa kaka...mbona unakua kama namna gan..nmeshakwaambia kimei alitolewa pale...nyie mnasema alistaafu..ndio..ila mi nakwambia alitolewa pale .kwisha..hutak kaa hapo
Mpango, joyce ndalichako waliteuliwa kia mawaziri na ubunge kwa wakati mmoja ila unashupaza shingo hapa kuleta ubishi usio na tija.Aaah kalale huko....
Dalili za kushindwa hizo
Majibu hujanipa! Naona unazunguka tuu kama Nzi
Unashindwa hata kubishana kwa hoja.
Ndio maana wanaofeli ni wengi hatujui ni kwa nini..kumbe tunakariri mamboMpango, joyce ndalichako waliteuliwa kia mawaziri na ubunge kwa wakati mmoja ila unashupaza shingo hapa kuleta ubishi usio na tija.
Mpango na ndalichako waliingia bungeni kwa Mara ya KWANZA wakiwa tayari ni mawaziri.
TrueInawezekana Mwigulu anafaa ila binafsi kiongozi anayekesha mitandaoni kujibishana na watu naona hana nidhamu na mwepesi kujikweza.
Tumpe nani sasaKimei na Mwigulu wote hawafai kuwa Mawaziri wa Fedha.
Hili lina ukweli kabisa. CRDB walipitisha sana hela za uchakachaji. Unakumbuka zile bilioni zilizopitishwa CRDB Hollande pale posta ?Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.
HahahahaMganga wa Mwigulu anafaidi sana.
Tawile!
Wewe ni mmoja wapo kati ta mliopewa tenda ya kutuchafulia mawe yetu nchi nzima kwa kupiga machata "Mwigulu rais 2015" sasa umelamba tenda nyingine.
Mwambie akomae na jimbo lake na timu yake mawenzi market, kashindwa kuiongoza sgd utd itakuwa wizara yetu ya michuzi!