Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Huyo mstaafu wa CRDB wa nini? Kwanza kuna vijana kibao waadilifu ndani ya wizara ya fedha wapeni kazi hiyo....

Mama Samia teua vijana wasomi wa 40 - 45 wakupigie kazi - achana na hawa wazee wastaafu na wanasiasa wa kujikomba komba watakuangusha.
 
Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi

Mkimweka kimei ni kina mramba walewale

Serekali ina hisa pale mkuu
so kama ina hisa inapiga kura kama mwanahisa mwingine, sio kuteua, na wala Serikali sio mwanahisa mkuu pale
 
Inawezekana Mwigulu anafaa ila binafsi kiongozi anayekesha mitandaoni kujibishana na watu naona hana nidhamu na mwepesi kujikweza.
Mwigullu ni msomi lakini uwaziri wowote hafai.
Tabia ndiyo inamwondolea sifa.
Lakini kwani wabunge wengine hawapo hadi tunahitaji kuwarotate hawahawa hata ambao wameonekana kukosa maadili na utu?
 
MH. Rais atakwama km atakumbatia watu wa aina ya Mwigulu, Kimei. Hawatamsaidia Ni mafisi wale. Halafu Ni watu wa magenge ya CCM.
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Ana tungo tata
 
Ni ujinga huwezi kumpangia rais mtu wa kufanya nae kazi.
Mbona kamteua Mpango wakati ndiye aliyekua waziri wa fedha na ni kipindi ambacho hakukua na uwazi wa matumizi ya fedha za umma,
Huko chato bajeti yake iko wapi, midege na huko ruangwa hadi barabara zina mataa.
Achenni unafiki
SukumaGang Out! Huu ni muda wa Wala-rojo
 
Hizi mada za ukabila ndizo wachaga huzipenda sana, hawa watu ukabila uko kwenye uboho na kwenye damu.Hata michango mingi inayohusu ukabila humu wachangiaji wengi ni wachaga. Wachaga muelewe tu kuwa nyie ni sehemu ndogo sana ya makabila yote yaliyopo TZ, zama zenu za kubebana unakuta ofisi imejaa wachaga hadi wafagiaji zimepitwa na wakati,acheni kulalamika eti kila uteuzi ukifanyika mnataka lazima awemo mchaga.Mambo ya nyuma yamepita eti nyie ndio wasomi😁😁,leo hata sisi Wakara tumekwenda shule vizuri tu,tusitishiane usomi karne hii alaaa...
Kikubwa mkuu..tuachane na kuzungumza ukabila, udini, na ukanda..hii nchi inaitaji umoja na mshikamano na kikubwa watu kuvumiliana kutokana na tofauti zao kiimani, kikabila na kiitikadi..tukianza kichambua hapa..nani mkabila na Nani si mkabila au mdini..hakuna nakuambia atakayebakia salama..kikubwa tuvumiliane..na kiongozi wetu tusimtazame kwa misingi ya kabila lake,rangi yake au dini yake..Bali kiongozi wetu tumtazame kwa misingi ya uzalendo wake kwa nchi yetu, uwezo, uzoefu..na elimu yake kwa kazi husika.
 
SimbaChawene awe waziri wa fedhwaa, alafu Nape awe waziri wa mambo ya ndani ili amsake yule muhuni aliyemnyooshea mguu wa kuku kipindi kile cha jambazi kuu aliyefia katikati ya Movie
 
Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB

Wasomi wengi wa masuala ya Fedha ni Wachagga kwa hiyo, hata huko benko lazima Wachagga wajae.

Sasa ulitaka aajiri wachunga ng'ombe?

Hivi ushamba mtaacha lini?

Maana kuiba nako kunahitaji elimu.

Ndani ya week unakwapua mamilioni ya dola huo ni uzezeta.
 
Eti nani kimei? Huyu huyu aliyeifanya benki ya CRDB kuwa ya wachaga,hafai hata kidogo, mwanamama Ashatu Kijaji anafaa sana kuongoza hiyo wizara,ikishindikana atafutwe mtu mmoja kutoka Zanzibar apewe wizara ya fedha.Hawa akina mwigulu,kimei hawafai hata kidogo
Mzee punguza povu aisee..haya alijaza wachaga ..vipi bank ilifilisika !? Ilishindwa kutoa gawio kwa wanahisa kisa Kuna wachaga wengi!? Mambo mengine ni ujuha
 
Hakuna kijana mwenye weledi anayeiweza wizara ya fedha nchi hii. U-dc na U-RC tu umewatoa jasho mpaka wanatukana wazee wao waliowafikisha hapo.
Huyo mstaafu wa CRDB wa nini? Kwanza kuna vijana kibao waadilifu ndani ya wizara ya fedha wapeni kazi hiyo....

Mama Samia teua vijana wasomi wa 40 - 45 wakupigie kazi - achana na hawa wazee wastaafu na wanasiasa wa kujikomba komba watakuangusha.
 
Adolf Mkenda ndiye waziri wako wa fedha.
Kaa kwa kutulia.
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
 
so kama ina hisa inapiga kura kama mwanahisa mwingine, sio kuteua, na wala Serikali sio mwanahisa mkuu pale
Hii ni africa kaka...mbona unakua kama namna gan..nmeshakwaambia kimei alitolewa pale...nyie mnasema alistaafu..ndio..ila mi nakwambia alitolewa pale .kwisha..hutak kaa hapo
 
Back
Top Bottom