Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Jamani, tutumie hekima.

Mwigulu, hana sifa za kuwa kiongpzi kwenye nafasi yeyote. Ni mtu mnafiki na mwongo.
 
Huku si ndiyo kumpangia jaman au??
Muacheni ajichagulie mbona mwendazake hamkumpangia??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wizara ya fedha apewe kiongozi kutoka Zanzibar,
Wazanzibar hawana tamaa, wana upendo na wenye hofu ya Mungu.
 
Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi

Mkimweka kimei ni kina mramba walewale
Nani alimtoa Kimei pale?? CRDB inamilikiwana nani tuanzie hapo kwanza
 
Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi

Mkimweka kimei ni kina mramba walewale
Nani alimtoa Kimei pale?? CRDB inamilikiwana nani tuanzie hapo kwanza
Mwigulu aundiwe wizara yake ya kikosi kazi cha kuteka na kuua wapinzani hiyo ndo wizara pekee anayoweza kuimudu vizuri!!
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
SO point yako hapa ni Mwigulu.Hivi bado kuna TEAM JPM,Fanya kusema TEAM SHS
 
Wizara ya Fedha iongozwe na Rais tu tujue moja maana hata wakati wa JPM Dr. Mpango alikuwepokuwepo.

Come to think of it, hii teuzi ya Mpango huenda kuna kitu kikubwa nyuma ya Pazia. Nadhani kwa Waziri wa Fedha tunaweza kuwekewa outsider (mtu kama Dorothy Gwajima) asiye na clue ili wamcontrol kwa remote
Inaonekana kama Rais Samia anataka kujikita kwenye uchumi na kudhibiti ubadhirifu, ndiyo maana kamuweka karibu Dr. Mpango.

Kimei aliwahi kusema anamuogopa sana Magufuli na atafanya chochote Magufuli atakachotaka, kwa namna ambayo ilileta maswali mengi kwa sababu CEO wa Benki anatakiwa kwenda kwa banking integrity, si kwa kumwogopa mtu.Magufuli angemwambia waibe hela za CRDB zitumike kwenye kampeni ya kisiasa angekubali, hivyo hana integrity ya uongozi.

Dr. Mpango aliisimamia issue ya kutoza kodi makontena ya furniture za Bashite wakati kila mtu alikuwa anamuogopa Bashite, pale Dr. Mpango alijionesha ana professional integrity ya juu sana, kwa sababu Bashite alikuwa anatamba sana kama mtoto mpendwa wa rais.
 
Hakuna mtu anayefaa kuwa waziri wa fedha hapo mjengoni kwa sasa. Ateuliwa mbunge mwingine tu kutoka nje.
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Mwigulu Mchema Ni mwanasiasa kutoka CCM katili kuliko j.....e.
Yuko tayari kupoteza halaiki ya wapinzani ili aendelee kula Bata.
Kwa vile nchi yetu ni nchi ya maajabu Mwigulu aweza hata kuwa PM.
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Mwigulu ni taka taka
 
Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
Uko sahihi kabisa. Na si kimei tu, ni tabia ya wachaga wote. Ni wabaguzi wa wazi wazi. Hata kule TRA kina Lauwo na Kitillya walijaza wachaga tupu ma mpaka mapacha waliajiriwa kwa pamoja ili mradi uitwe Kwayu or something. Hawafai hata kidogo kupewa madaraka makubwa maana hawanaga aibu kwenye kubebana.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kimei ni hardworker ila changamoto yake ni Ukabila yatajirudia yale yale ya Edwin Mtei kuwa Governor wa Kwanza wa BOT kiasi kwamba sehemu penye fedha walijaa watu wa kule
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Mwigulu! Huyu hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi na PhD yake fake.
 
Tuacheni kuzungumza ukabila ndugu yangu.. Watanzania tupendane..na kamwe tisianze kutazamana kwa misingi ya kabila,dini rangi au ukanda..hiyo ni mbaya Sana..kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu..Kama unachuki na Kimei au akina Bwashee...wewe baki nazo moyoni mwaka usiziweke hapa..shame upon your face.. Watanzania tumeshaondoka huko kwenye kuzungumza udini, ukabila na ukanda..mtu anachaguliwa kwa misingi ya uwezo wake, uzoefu na taaluma yake..na si vinginevyo.
Mungu akusaidie sana uondokane na roho ya chuki na ubaguzi iliyo ndani yako..
Mungu ibariki Afrika Mungu ibariki Tanzania
Hizi mada za ukabila ndizo wachaga huzipenda sana, hawa watu ukabila uko kwenye uboho na kwenye damu.Hata michango mingi inayohusu ukabila humu wachangiaji wengi ni wachaga. Wachaga muelewe tu kuwa nyie ni sehemu ndogo sana ya makabila yote yaliyopo TZ, zama zenu za kubebana unakuta ofisi imejaa wachaga hadi wafagiaji zimepitwa na wakati,acheni kulalamika eti kila uteuzi ukifanyika mnataka lazima awemo mchaga.Mambo ya nyuma yamepita eti nyie ndio wasomi😁😁,leo hata sisi Wakara tumekwenda shule vizuri tu,tusitishiane usomi karne hii alaaa...
 
Kama vipi arudishwe tu Prof Assad, ateuliwe ubunge ashike Wizara.
 
Back
Top Bottom