Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Mwigulu hata kuwa waziri tu hafai, sijui kwanini bado hajatumbuliwa?!
Nikiangalia jinsi Mh. Rais mama Samia alivyoanza kuunda team yake pia na yeye mwenyewe alivyo kiukweli siioni nafasi ya watu kama Mh. Mwigulu kubaki kwenye baraza la mawaziri.

Naiona heshima ya mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya kutamalaki.

Hebu mtazame Rais, Makamu wake, Waziri Mkuu hapo unapata sura kamili ya utulivu, uwajibikaji, ukomavu nk.
Mambo ya kukurupuka, mambo ya kutafuta kiki kwenye makamera siyaoni kama yatapata nafasi utawala huu
 
Kimei tena? Wachaga watajaa hiyo wizara mpaka wafagiaji, hatutaki makabila yenye ubinafsi. Bora hata hiyo wizara atuletee mzenj , watu wastaarab na wasio majizi
Tuacheni kuzungumza ukabila ndugu yangu.. Watanzania tupendane..na kamwe tisianze kutazamana kwa misingi ya kabila,dini rangi au ukanda..hiyo ni mbaya Sana..kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu..Kama unachuki na Kimei au akina Bwashee...wewe baki nazo moyoni mwaka usiziweke hapa..shame upon your face.. Watanzania tumeshaondoka huko kwenye kuzungumza udini, ukabila na ukanda..mtu anachaguliwa kwa misingi ya uwezo wake, uzoefu na taaluma yake..na si vinginevyo.
Mungu akusaidie sana uondokane na roho ya chuki na ubaguzi iliyo ndani yako..
Mungu ibariki Afrika Mungu ibariki Tanzania
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Mwigulu ataendelea kukosa mambo mengi sana ambaye pengine angestahili kwa sababu ana propaganda za kitoto sanaaaaa...........Huyu toka Magufuli amefariki amekuwa akiota kuwa anakua MAKAMU WA RAIS ..na hata baadhi ya watu wake wa karibu kawaambia wakiwamo watumishi wa Mungu na habari kunasa mikononi mwa vipenyo ..........
Hizi tabia za kitoto za kutuma chawa wake waje huku kumuuza mtandaoni hazitasaidia ,mwambieni ATULIE .....kama mfumo ukiona anafaaa atapendekezwa mezani .
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.

Mwigulu ni muuaji hafai, kama umekula hela yake mrudishie, hii kazi ya kusafisha watu waovu imepita na jiwe.
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Kimei aliifanya CRDB mali yake na Wachaga wenzake, mwacheni abaki na ubunge wake,kama aliahidiwa uwaziri imekula kwake.
 
Inawezekana Mwigulu anafaa ila binafsi kiongozi anayekesha mitandaoni kujibishana na watu naona hana nidhamu na mwepesi kujikweza.
Muwekeni Mwigulu aibe pesa za kutafuta urais kwenye mawe. Hivi huwa mna muona Mwigulu yuko sawa kichwani kweli?
 
Nikuelewe nini mjinga wewe! Wewe ni Mungu kuamua mimi niende low wewe uende high. Huyo mwenyewe uliekuwa unamuita your highness yupo down low anapambana na mafunza sasaiv!
NDIO MAANA NIKASEMA HUWEZI KUELEWA NILICHOANDIKA, AKILI YAKO NDOGO!
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Yule hafai hafai
 
CRDB si ni private entity mkuu? Kimei alistaafu mwenyewe, Nsekela ndio akapigiw kura na Mkutano Mkuu wa wanahisa wa CRDB, hakuteuliwa na Magufuli
Pia Magufuli ndio alimwambia Kimei atampangia kazi baada ya kustaafu kipindi anafungua tawi la benki kule Chato na hata kura za mani za CCM kimei hakushinda ila akateuliwa kugombea, nadhani kama angekuwa mchafu kiasi hicho asingebebwa na Magufuli na wala asingekuwa mbunge
Serekali ina hisa pale mkuu
 
Back
Top Bottom