Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nchi ngumu sana hii.. Kazi kwako mama Samia. Mwenzio na umafia wake wote imemtoa roho😂😂Kimei na Mwigulu wote hawafai kuwa Mawaziri wa Fedha.
Katiba hairuhusu. Ni kifungo tosha ukimaliza u CAGProf Mussa Assad ANATOSHA wizara ya Fedha na Mipango
Sijajua hata kama unafahamu mwanzo wa Mjadala huu!Unaelekezwa bado unakaza skeleton kuelewa. Kasali uko kazi zimekushinda
Ok..Aliyetajwa ni Mbunge? Hujaelewa nini hapoUmemaanisha nini hii?
Sasa aliyetajwa na Mbunge,?????.
Mimi nadhani tuendelee kufanya kazi na sala kama jina lako linavotuelekeza.Nalifahamu hilo
Acha umuch know basi..jina alilotaja hapo ni Mbunge?..hivi Tz mbona mna vichwa vigumu sana?
Mwiguru ana kiburi sana hafaiUteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha..
Huyu bwege hela za u RC tu wa jiji alipata kichaa na kuanza kujisifia hamna mtu anaekula raha kama yeye 😁😁😁 hapo ni vile vihongo vya million 100-300! Kubadilisha Mipira kadri anavyojiskia.Wizara ya fedha apewe Daudi Albert Bashite.
Tatizo la mwigulu ni kiburi sana.Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha....
Kumweka mtu mwenye ndoto urais wizarw nyeti ksms hio Ni sawa Ni kumkabidhi fisi buchaUteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha....
Msimsemee Mwigulu Nchemba , huyu ni mtu wa kujikomba sana sana.Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha....
Sawa sawa kabisa mwigulu hata uwaziri hafaiInawezekana Mwigulu anafaa ila binafsi kiongozi anayekesha mitandaoni kujibishana na watu naona hana nidhamu na mwepesi kujikweza.
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha....
Mwigulu hata Bungeni tu amepwaya.Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Mkabila sana na sio muadilifu!! Mtakuja kumfunga kama alivyofungwa Mramba!Kimei mtu mbunifu sn