Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi
Mkimweka kimei ni kina mramba walewale
Eti nani alimtoa nani wapi?