Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Huyu Mwigulu sio yule aliyechafua mawe yetu ?, Akipewa hii Wizara si atamshauri mama hata zile zifuri za kwenye noti za pesa aweke picha yake...
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Kimei mtu mbunifu sn
 
Nawe tulia basi. Kwani Dk Mpango alipokua waziri wa fedha 2015-2020 alikuwa ni mbunge wa wapi?. Kumbuka kuna ubunge wa kuteuliwa.
Nalifahamu hilo

Acha umuch know basi..jina alilotaja hapo ni Mbunge?..hivi Tz mbona mna vichwa vigumu sana?
 
Jiongeze mkuu, unaongea ujinga mwingi sana kwa wakati mmoja
Aaah kalale huko....

Dalili za kushindwa hizo

Majibu hujanipa! Naona unazunguka tuu kama Nzi

Unashindwa hata kubishana kwa hoja.
 
Ndio sijakataa..kuteuliwa sawa.

Saivi hana shughuli yoyote

Kwa hiyo atateuliwa muda huo huo na kukabidhiwa kazi,? Kila kitu kinazingatia protocol Mkuu
Unaelekezwa bado unakaza skeleton kuelewa. Kasali uko kazi zimekushinda
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Tulieni. Mtaona maajabu mtashangazwa
 
Back
Top Bottom