Phiri Mosses Lazima Aumizwe vibaya kabla hatua ya makundi iwapo Simba itakalia kimya mipango ya wapinzani dhidi ya Nyota wao

Phiri Mosses Lazima Aumizwe vibaya kabla hatua ya makundi iwapo Simba itakalia kimya mipango ya wapinzani dhidi ya Nyota wao

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kwanini viongozi Simba hawaoni Hilo. Nyota wao wote hukumbana na rafu mbaya Sana karibu kila gemu zinazohatarisha maisha yao ya Mpira.

Simba Ni klabu kubwa isisubiri mpaka mtu Avunjwe goti ndio watoe malalamiko.

Juzi Phiri anafanyiwa rafu mbaya kabisa mbele ya kibendera na Mpira unaelekezwa kwao.

Kama Chama kapigwa Faini na kufungiwa mechi kadhaa kwa kushindwa kusalimiana na wachezaji pinzani Ni wakati wa Simba Kama klabu kubwa kupigania fear play kwa afya ya wachezaji wake. Na wa timu zingine.

Kwa makusudi kapombe, Phiri, Sacko, okra na Chama Ni walengwa wa Opponent.

Baada ya mechi ya leo tutajadili kitu.
 
Kwanini viongozi Simba hawaoni Hilo. Nyota wao wote hukumbana na rafu mbaya Sana karibu kila gemu zinazohatarisha maisha yao ya Mpira.
Simba Ni klabu kubwa isisubiri mpaka mtu Avunjwe goti ndio watoe malalamiko.
juzi Phiri anafanyiwa rafu mbaya kabisa mbele ya kibendera na Mpira unaelekezwa kwao.
Kama Chama kapigwa Faini na kufungiwa mechi kadhaa kwa kushindwa kusalimiana na wachezaji pinzani Ni wakati wa Simba Kama klabu kubwa kupigania fear play kwa afya ya wachezaji wake. Na wa timu zingine.

Kwa makusudi kapombe, Phiri, Sacko, okra na Chama Ni walengwa wa Opponent.

Baada ya mechi ya leo tutajadili kitu.
Huyo Phiri ye ndio nani?
 
Kwanini viongozi Simba hawaoni Hilo. Nyota wao wote hukumbana na rafu mbaya Sana karibu kila gemu zinazohatarisha maisha yao ya Mpira.
Simba Ni klabu kubwa isisubiri mpaka mtu Avunjwe goti ndio watoe malalamiko.
juzi Phiri anafanyiwa rafu mbaya kabisa mbele ya kibendera na Mpira unaelekezwa kwao.
Kama Chama kapigwa Faini na kufungiwa mechi kadhaa kwa kushindwa kusalimiana na wachezaji pinzani Ni wakati wa Simba Kama klabu kubwa kupigania fear play kwa afya ya wachezaji wake. Na wa timu zingine.

Kwa makusudi kapombe, Phiri, Sacko, okra na Chama Ni walengwa wa Opponent.

Baada ya mechi ya leo tutajadili kitu.
Hili lipo wazi na sio Phiri tu. Pamoja na Simba kuwa na mapungufu baada ya baadhi ya wachezaji kuondoka lakini limekuwa tatizo. Nashukuru sana umeliona.
Mwaka jana wapinzani ndio mbinu waliitumia pakubwa kwa kile walichokiita ahadi ya pesa iwapo Simba itafungwa na walifanikiwa. Mfano match Vs Dodoma Jiji wachezaji takribani 4 waliumizwa. Bado Anuar Jabir anatolewa kwa red card watu wanakwambia Simba inabebwa dah.
 
Kwanini viongozi Simba hawaoni Hilo. Nyota wao wote hukumbana na rafu mbaya Sana karibu kila gemu zinazohatarisha maisha yao ya Mpira.

Simba Ni klabu kubwa isisubiri mpaka mtu Avunjwe goti ndio watoe malalamiko.

Juzi Phiri anafanyiwa rafu mbaya kabisa mbele ya kibendera na Mpira unaelekezwa kwao.

Kama Chama kapigwa Faini na kufungiwa mechi kadhaa kwa kushindwa kusalimiana na wachezaji pinzani Ni wakati wa Simba Kama klabu kubwa kupigania fear play kwa afya ya wachezaji wake. Na wa timu zingine.

Kwa makusudi kapombe, Phiri, Sacko, okra na Chama Ni walengwa wa Opponent.

Baada ya mechi ya leo tutajadili kitu.
Ngada FC kwa kulalama hamjambo..!!
 
Hili lipo wazi na sio Phiri tu. Pamoja na Simba kuwa na mapungufu baada ya baadhi ya wachezaji kuondoka lakini limekuwa tatizo. Nashukuru sana umeliona.
Mwaka jana wapinzani ndio mbinu waliitumia pakubwa kwa kile walichokiita ahadi ya pesa iwapo Simba itafungwa na walifanikiwa. Mfano match Vs Dodoma Jiji wachezaji takribani 4 waliumizwa. Bado Anuar Jabir anatolewa kwa red card watu wanakwambia Simba inabebwa dah.
Na rafu ya inonga kwa sure boy uliiona? Na ile chama alimchezea fei nadhani nayo hukuiona? Na vipi ile pesa waliyokapewa kmc dhidi ya yanga iliyokatolewa na paul makonda nayo haukuiona? Au haya yote yakipokifanyika wewe ulikuwa jela au ICU?
 
Toa Upumbavu wako..litimu la wauza UNGA halina Kocha wa Viungo kwa ajili ya kuimarisha utimamu wa mwili kwa wachezaji wake, sa litakosaje majeruhi wa mara kwa mara...

Madawa ya kulevya ni janga...
 
Hamna uhalali wa kulalamikia kufanyiwa faulo maana ndo zenu. Majeruhi yatawaaandama mpaka pale mtakapomuomba msamaha Sureboy na Feisali.

Ahadi ya pesa, hilo hata msiliongelee.
 
Hamna uhalali wa kulalamikia kufanyiwa faulo maana ndo zenu. Majeruhi yatawaaandama mpaka pale mtakapomuomba msamaha Sureboy na Feisali.

Ahadi ya pesa, hilo hata msiliongelee.
Shida ya upande wa pili kila hoja huja na madai ya kubalance uovu. Uovu huwezi kuwa halali hata Kama Ni wakufanya kisasi.
Tujifunze kukemea uovu sio kuhalalisha kwa madai dhaifu ya wenyewe kufanyiwa. Uovu utabaki kuwa uovu tu.
 
Poor poor poor kabisa!!, Hivi unatak Tff waingie katika akili za wachezaji wawaambie wasicheze rafu??, Uliwahi kuhoji hapa juu ya faulo ya Inonga dhidi ya Sure boy?, Umewahi kumsema vibaya kiungo wenu mbovu(Kanoute) ambaye Kama sio hekima na uoga wa marefa asingekuw anamaliza mechi.

Tukusaidie kitu, wachezaji wengi wa Simba kama Sakho,Okrah,Banda ni wachezaji wa majukwa wanakaa na mpira bila sababu za msingi. Wanacheza ligi kama wanacheza umisseta, warekebiaheni na acheni kulalamika vitu vya kipuuzi.
 
Hili lipo wazi na sio Phiri tu. Pamoja na Simba kuwa na mapungufu baada ya baadhi ya wachezaji kuondoka lakini limekuwa tatizo. Nashukuru sana umeliona.
Mwaka jana wapinzani ndio mbinu waliitumia pakubwa kwa kile walichokiita ahadi ya pesa iwapo Simba itafungwa na walifanikiwa. Mfano match Vs Dodoma Jiji wachezaji takribani 4 waliumizwa. Bado Anuar Jabir anatolewa kwa red card watu wanakwambia Simba inabebwa dah.
Ongezea na mechi dhidi ya biashara Namungo Kuna wachezaji walicheza rafu Kwa makusudi ila refa akawa anapeta Shabalala kama nahodha alitakiwa kuwa msitari wa mbele kumlalamikia mwamuzi lakini aliacha wachezaji wapambane wenyewe na viongozi wa Simba wanajifanya uzungu mwingi wanakaa kimya
 
Sawa ya Moto Ni Moto, safari hii mtapigwa Kama ngoma Hadi mkome. Malipo hapa hapa.
 
Ongezea na mechi dhidi ya biashara Namungo Kuna wachezaji walicheza rafu Kwa makusudi ila refa akawa anapeta Shabalala kama nahodha alitakiwa kuwa msitari wa mbele kumlalamikia mwamuzi lakini aliacha wachezaji wapambane wenyewe na viongozi wa Simba wanajifanya uzungu mwingi wanakaa kimya
Rafu ya makusudi ni kama ile aliyocheza inonga kwa sure boy?
 
Back
Top Bottom