Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Phiri ye ndio nani?
mumeo kipenzi huyo
Hovyo sana hawa watu tena wavunjwe na chama na shabalala
Ukubwa wa tatizo hili umeongezeka sana kuanzia msimu uliopita na huu inaonekana kabisa ni mpango elekez hasa ukizingatia ni kama marefa wanamaelekezo,vitendo hivi vifike mwishoKwanini viongozi Simba hawaoni Hilo. Nyota wao wote hukumbana na rafu mbaya Sana karibu kila gemu zinazohatarisha maisha yao ya Mpira.
Simba Ni klabu kubwa isisubiri mpaka mtu Avunjwe goti ndio watoe malalamiko.
Juzi Phiri anafanyiwa rafu mbaya kabisa mbele ya kibendera na Mpira unaelekezwa kwao.
Kama Chama kapigwa Faini na kufungiwa mechi kadhaa kwa kushindwa kusalimiana na wachezaji pinzani Ni wakati wa Simba Kama klabu kubwa kupigania fear play kwa afya ya wachezaji wake. Na wa timu zingine.
Kwa makusudi kapombe, Phiri, Sacko, okra na Chama Ni walengwa wa Opponent.
Baada ya mechi ya leo tutajadili kitu.
Nawewe mumeo anaitwa nani?mumeo kipenzi huyo
huyu mpumbavu hastaili kuwa nahodhaOngezea na mechi dhidi ya biashara Namungo Kuna wachezaji walicheza rafu Kwa makusudi ila refa akawa anapeta Shabalala kama nahodha alitakiwa kuwa msitari wa mbele kumlalamikia mwamuzi lakini aliacha wachezaji wapambane wenyewe na viongozi wa Simba wanajifanya uzungu mwingi wanakaa kimya
Mimi niliifurahia sana ile rafu. Nilifanya na sherehe. Ila naumia kwanini hakuifanya kwa nguvu zaidi ili AMVUNJE KABISA...Wachezaji wenu ndio waanzirishi wa rafu na hawafanywi kitu. Ile rafu ya inonga kwa sureboy haitowaacha salama makolo
Your dad , just your mum didint tell u.Huyo Phiri ye ndio nani?
Mmoja wa wachezaji wa kiwango cha chini kabisa kwa sasa pale Simba first 11. Niliwahi kuleta mada humu kumuhusu kuna watu wakasema namuonea wivu utadhani tunajuana.huyu mpumbavu hastaili kuwa nahodha
Nyie si watoto wa tff?Kwanini viongozi Simba hawaoni Hilo. Nyota wao wote hukumbana na rafu mbaya Sana karibu kila gemu zinazohatarisha maisha yao ya Mpira.
Simba Ni klabu kubwa isisubiri mpaka mtu Avunjwe goti ndio watoe malalamiko.
Juzi Phiri anafanyiwa rafu mbaya kabisa mbele ya kibendera na Mpira unaelekezwa kwao.
Kama Chama kapigwa Faini na kufungiwa mechi kadhaa kwa kushindwa kusalimiana na wachezaji pinzani Ni wakati wa Simba Kama klabu kubwa kupigania fear play kwa afya ya wachezaji wake. Na wa timu zingine.
Kwa makusudi kapombe, Phiri, Sacko, okra na Chama Ni walengwa wa Opponent.
Baada ya mechi ya leo tutajadili kitu.
Njoo Leo tuone Simba inavyopuuza mamboNakuja
Ndio yametokea anayefata kapombe na okraMalalamiko FC, kama watoto wa kambo
Nazani kaishavunjwa fanyeni shereheMimi niliifurahia sana ile rafu. Nilifanya na sherehe. Ila naumia kwanini hakuifanya kwa nguvu zaidi ili AMVUNJE KABISA...