Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Kuna mtoto wa dada yangu kapata hayo matokeo kwenye masomo ya Science,
Hataki kusikia habari za form 6, anataka kuanza safari yake ya kusomea taaluma mapema, hivyo kaamua aende chuo
Shida inakuja anapenda taaluma ya engineering ila hajui ipi aiseomee,
hofu yangu asije akaenda kusomea engineering itayompa shida kupata fursa mfano petroleum engineering, agriculture engineering, textile engineering, environment engineering, n.k.
Nimefanya research kwa kuanzia maarufu angalau kuna matumaini ni Computer Engineering, Mechanical Engineering, Electical Engineering na nyingine unaweza kunishauri
Naombeni ushauri kwa kuzingatia tatizo la ajira, aende kusomea kitu ambacho angalau kina soko, pia kuwe kuna matangazo ya ajira mara kwa mara.
Mimi nikajua ni pass za A-level;
Mwambie aache ujinga aende A- LEVEL. Masomo ya A- level ni muhimu sana na huwa yanamjenga mwanafunzi na kumpa kujiamini na hata akiamua kuja kusoma Diploma huko mbeleni ata stand out...
Soko la ajira na hata kujitegemea kwa karne hii kunahitaji zaidi ya ujuzi....Aende A- LEVEL huo ndio ushauri wangu.......SOKO LA AJIRA LINAHITAJI MTU ANAYEJIAMNI KAMA FARU JOHN
Diploma awaachie wale wenye pass za kati..