sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Mpk shule zfunguliwe tutashuhudia meng sanaaView attachment 2051811
Ni kuhusu mtoko wa kwanza ule (first date)
Mtoto umemcheki umempenda na kumtamani pia , umepanga nae miadi umtoe out kwenye date.
sasa vile unamrudisha kwao, kuna ile hali ya kuagana kwenye mtoko wa kwanza kuna ishu ya ku kiss na mara nyingi inabidi mwanaume ndio umpige busu.
unaweza kudhani ni mapema sana ukapotezea, ila mwenzako alikuwa tayari na akaona humpendi.
Pia unaweza ukamkiss lakini mwenzako bado anaona ni mapema sana maana ndio kwanza ni siku ya kwanza ya introducion, hapa pia inaweza kuwa tatizo.
tupe uzoefu wako.
Uzungu + Mchanganyiko wa Kiswahili umekuja kuharibu mapenzi. Eti "first date" ya Konyooo!
Mimi kwangu hakuna first date wala last date hiyo siku umeridhia kukutana na mimi kila kitu kinafanywa hapo hapo na tunaanza na gia kubwa.
Mambo ya kuanza kusubiriana ni uzungu ambao haufanyi kazi kwenye damu ya Kiafrika.
Kama una hela umbusu usimbusu ni mamoja tu. Halafu haya mambo waachieni wazungu wenye principles zao. Huku Misungwi niliko haya mambo hayapo hata huko Bongo labda mademu wa Masaki na Oysterbay...ila Mbagala huko ndani ndani sidhani [emoji16][emoji16]
[emoji23]Ila hakikisha umesugua Sana ulimi kwa colgate...maana wanaume tunaongoza kunuka midomo kuliko mademu
Juzi rafiki yangu mmoja alinipa taarifa kuwa kamtoa out demu ambaye wameanza naye mahusiano ya maneno (mahusiano ya maneno ni kama hayo yenye kuwa na first date) sasa akazunguka naye huko baharini baadae nikamuuliza vipi umepiga mzigo akasema eti ilikuwa ni outing tu mzigo siku nyingine.Dah[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Juzi rafiki yangu mmoja alinipa taarifa kuwa kamtoa out demu ambaye wameanza naye mahusiano ya maneno (mahusiano ya maneno ni kama hayo yenye kuwa na first date) sasa akazunguka naye huko baharini baadae nikamuuliza vipi umepiga mzigo akasema eti ilikuwa ni outing tu mzigo siku nyingine.
Nilitetemeka sana, ningekuwa ni mimi hata kwa kubaka ila lazima aliwe. Uzungu unatuharibia wanawake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila hakikisha umesugua Sana ulimi kwa colgate...maana wanaume tunaongoza kunuka midomo kuliko mademu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzungu + Mchanganyiko wa Kiswahili umekuja kuharibu mapenzi. Eti "first date" ya Konyooo!
Mimi kwangu hakuna first date wala last date hiyo siku umeridhia kukutana na mimi kila kitu kinafanywa hapo hapo na tunaanza na gia kubwa.
Mambo ya kuanza kusubiriana ni uzungu ambao haufanyi kazi kwenye damu ya Kiafrika.