Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Nakumbuka ulianza majaribio 2020

Maana yake una miaka miwili au ulitetereka kidogo
Mkuu, nilikaa kama miezi mitano nikashindwa. Sasa nina miezi kumi na moja sijagusa tena, na ninaendelea poa kabisa.
 
Mkuu, nilikaa kama miezi mitano nikashindwa. Sasa nina miezi kumi na moja sijagusa tena, na ninaendelea poa kabisa.
Bila shaka hata siha yako njema sasa.

Mimi nilifanikiwa kuacha ulevi japo mara chache nikiimiss nalewa ila natulia kipindi kirefu tena bila kugusa
 
Bila shaka hata siha yako njema sasa.

Mimi nilifanikiwa kuacha ulevi japo mara chache nikiimiss nalewa ila natulia kipindi kirefu tena bila kugusa
Mkuu, naendelea vizuri kabisa. Natumaini kuendelea kumaintain hali hii kadri niwezavyo. Kwa mtu ambaye hajapitia janga la ulevi anaweza asielewe ni kwa kiasi gani hili dubwasha (monster) la ulevi lilivyo changamoto kubwa sana
 
Mkuu naomba uandike huu uzi tafadhali kuna somo hapa
 
Mkuu naomba uandike huu uzi tafadhali kuna somo hapa
Ha hahahahaha, Mkuu nimegusia machache sana, nikisema niandike mengi zaidi nitajulikana na hapa tunatumia ID fake. Kwa kipindi hiki ambako mambo ya kifamilia yameanza kuwa stable, ni busara kutokuandika kwa undani.
Kuna siku huko mbeleni tukijaliwa uhai nitajaribu kuandika, kwani ninaweza kutoa makala kabisa. Sijasema matukio makubwa yaliyonikuta ughaibuni na kuninyima fursa ya kazi FAO. Ukisoma huu uzi utaona baadhi ya mikasa niliyokutana nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…