Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaitengeneza mwenyewe ili aonewe huruma🙄😜Hii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
View attachment 3042346
Source: Sky news.
Halafu akaruhusu aliyejikalia zake jukwaani afe? Huyo wa jukwaani ana dhambi kuliko Trump?Mungu tu ndio kamuokoa
Kama waliomshambulia Lisu?. Au ni siku zao bado?.Mdunguaji hakuwa na uzoefu kabisaaa
Je raia aliyekaa jukwaani auaweKaitengeneza mwenyewe ili aonewe huruma[emoji849][emoji12]
Jamaa utaki kuamini anDah hii ishu bhana 😂
Ujue kupata kupata freeze motion ya Risasi Sio kazi rahisi, anyway wana camera nzuri kwa matukio ndio mana hilo limewezekana.
Nakuombea leo jumapili shetani akufanye kitu kibaya ambacho wiki hii uvuki na tukioJamaa utaki kuamini an
Mungu tu ndio kamuokoa