Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
We like ila unalo jambo uje kunisimulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo youtube sasa natoa somoNakuombea leo jumapili shetani akufanye kitu kibaya ambacho wiki hii uvuki na tukio
AminaMungu tu ndio kamuokoa
Mi nikajua ni kweli,kumbe kajifanya kapigwa risasi na mtu mmoja eti naye kajifanya amekufa,aisee... hebu idadavue hiyo mkuu... nijifunze kitu.Kaitengeneza mwenyewe ili aonewe huruma🙄😜
Akidadavua hayo madudu yake ni tagMi nikajua ni kweli,kumbe kajifanya kapigwa risasi na mtu mmoja eti naye kajifanya amekufa,aisee... hebu idadavue hiyo mkuu... nijifunze kitu.
Usjie kujilaumu ujui unaongea na nani giza likiingia mda huu jiandae lolote kwako sio serikali ni jina languNipo youtube sasa natoa somo
Your welcome View attachment 3042410
Ndo namsubiria hapa,nijifunze,jamaa atakua ni CIA wa hatari huyu.Akidadavua hayo madudu yake ni tag
Umeelewa somo lakini....Usjie kujilaumu ujui unaongea na nani giza likiingia mda huu jiandae lolote kwako sio serikali ni jina langu
We badilisha id ila jioni kama ulichosemaUmeelewa somo lakini....
Subscribe my channel for .....
Yaani kuna watu wanaongea vitu as if wapo kwenye ile hali ya action potential(Unakuwa upo haraka haraka kutokana na hali ya kubanwa na haja kubwa....)Ndo namsubiria hapa,nijifunze,jamaa atakua ni CIA wa hatari huyu.
EWE Shetani punguza hasira, ewe shetani jaribu kuwa mvumilivu hao ndio banaadamu walivyoUsjie kujilaumu ujui unaongea na nani giza likiingia mda huu jiandae lolote kwako sio serikali ni jina langu
Huyu jamaa kutingisha kichwa tu ndio salama yakeHii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
View attachment 3042346
Source: Sky news.
Mathanzua usije kutuambia NWO wapo nyuma ya mpango wa kumuua Trump....Hii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
View attachment 3042346
Source: Sky news.
AminaMungu tu ndio kamuokoa
AahaaaaaHuyu jamaa kutingisha kichwa tu ndio salama yake