Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiranga akifika ujiandae kwa hojaMungu tu ndio kamuokoa
Acha mambo yako wewe ..We badilisha id ila jioni kama ulichosema
Nampa mbinu tuu maana inasemekana anatokaga na wa watu huyoAahahàaaa
Huyu ashawahi fumuliwa
Subiri kama leo basi kesho. Sijawai kufanya bila kukosea ndio maana nilipewa ili jinaAcha mambo yako wewe ..
Takutukana ahahaha
Kwani mungu uliyo mjua aliwai kukusikiriza ulicho kisemaEWE Shetani punguza hasira, ewe shetani jaribu kuwa mvumilivu hao ndio banaadamu walivyo
Nilijollchojifunza ni aina ya usala walionao wenzetu na sio wa kubabaisha kabisa maana mpaka kufikia muda huu naandika tayar taarifa nyingi sana zmepatikana kuhusu eneo la tukio na namna lilivyofanywa na mtu alohusika na taarifa zake kila kitu ni wazi, hii inaonesha ukomavu na ubobezi lakin ni uwazi wa vyomba vya usalama bila shida jamaa nmewapa pongezi upande huo na kila mamlaka wapo wazi kuhusu tukio hilo jamaa tujifunze kwa wenzetu ukilinganisha matukio yalotokea ndan ya nchi yetu na wenzetu ushap katika utendaji tupo nyuma sanaHii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
View attachment 3042346
Source: Sky news.
Pole kamanda ......Hii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
View attachment 3042346
Source: Sky news.
Ila ww jamaa bhana 😂Usjie kujilaumu ujui unaongea na nani giza likiingia mda huu jiandae lolote kwako sio serikali ni jina langu
Mtapata taarifa yake maana mafuta yake yana msubiria na ya injini za magariIla ww jamaa bhana 😂
Ahahahahah we jamaa ukute ni mtu mzima etSubiri kama leo basi kesho. Sijawai kufanya bila kukosea ndio maana nilipewa ili jina
Wamtengenezee na babu aonewe huruma ,maana safari inakujaKaitengeneza mwenyewe ili aonewe huruma🙄😜
Shetani la mashetani dangote, POVU LA nini hiliKwani mungu uliyo mjua aliwai kukusikiriza ulicho kisema
Ushakosea step, J2 sio siku ya shetani jaribu j4 au ijumaaNakuombea leo jumapili shetani akufanye kitu kibaya ambacho wiki hii uvuki na tukio
Mbona ulimkosa tundu?Mi huwa sikosi nikirenga shabaha yangu