Kwahiyo ili assassination attempt ni endapo risasi zingemwagwa kama njugu kama nyie mlivommwagia TALUngekuwa unayo akili ya tafakari UNAAMINI Kweli kulikuwa na assassination attempt Hapo??
Hatujadili chama Cha Mtu dogo....
kwani ww KGB wa bongo unasemaje hapo hebu tuambie ilikuajeHii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo??
View attachment 3042346
Source: Sky news.
Aonewe huruma na Nani wewe masikini?Kaitengeneza mwenyewe ili aonewe huruma🙄😜
High speed cameraDah hii ishu bhana 😂
Ujue kupata kupata freeze motion ya Risasi Sio kazi rahisi, anyway wana camera nzuri kwa matukio ndio mana hilo limewezekana.