Picha: Askari wa usalama aliyevaa kiraia akielekeza magari kwa makini mtaa wa posta mpya Dar es Salaam

Picha: Askari wa usalama aliyevaa kiraia akielekeza magari kwa makini mtaa wa posta mpya Dar es Salaam

Itakuwa alilala kwa mchepuko,nguo zikafuliwa saa 11 alfajiri,ikabid atinge kazini hvyo hvyo

Hv inakuwaje unafanya hvyo,baadae unakuja kushtuka kumbe uliemfanyia hvyo ni mtu mkubwa huko huko upande wa jeshi aliamua kutumia kigari chake cha siri
 
Haikusaidii sasa wewe CDF akufuate wa nini?? Shari iepuke katika miasha...kujifanye mjuaji ukiumia ni wewe...
These are guys are fair at all. Wao wanaonea watu unaweza kuwa na dhana ya kuepusha shari ila wanakuona mnyonge.

Hivyo kama mbwai na iwe mbwai.
 
Wanajeshi ndio hawajiamini, sijui kwa nini huweka kombat mbele ya kioo ili aogopwe?.
Polisi hawafanyaji hivi.
 
Back
Top Bottom