Unachekesha kweli kweli, ACT wanaihitaji CHADEMA kuliko CHADEMA wanavyoihitaji ACT,fanya utafiti hadi mda huu ACT hawana uhakika wa kushinds jimbo lolote bara labda la Zitto kabwe,CDM hadi mda huu wana uhakika wa majimbo zaidi ya 20 kama kila kitu kitaamuliwa na Sanduku la kura.Kuhusu mgombea Urais,ni ukweli ulio wazi Membe hawezi kupata kura nyingi kumzidi Lissu kama wote watapitishwa na vyama vyao kugombea.Zitto is very smart. Bila Chadema kufanya kazi na Zitto hawaponi kabisa! Lazima wakubali kurudi chini wawaunge mkono ACT walau kwa makubaliano ya kuachiwa majimbo maalum.
Unachekesha kweli kweli, ACT wanaihitaji CHADEMA kuliko CHADEMA wanavyoihitaji ACT,fanya utafiti hadi mda huu ACT hawana uhakika wa kushinds jimbo lolote bara labda la Zitto kabwe,CDM hadi mda huu wana uhakika wa majimbo zaidi ya 20 kama kila kitu kitaamuliwa na Sanduku la kura.Kuhusu mgombea Urais,ni ukweli ulio wazi Membe hawezi kupata kura nyingi kumzidi Lissu kama wote watapitishwa na vyama vyao kugombea.
Membe hana ushawishi kumzidi LissuZitto anataka KUB kupitia Membe
Mimi ndhani kuwa Zito anahitaji wabunge wawili au watatu kutoka huko kusini kumfuata Membe na wa Pemba watakaomfuata Maalim kwa sababu ya ruzuku. Unaona amekuwa anatumia muda mwingi sana huko kusini na Pemba kuliko jimboni mwake ambako hatujui kama kweli bado ana nguvu kama zamani maana hadi amepata wapinzani ndani ya chama chek.Unachekesha kweli kweli, ACT wanaihitaji CHADEMA kuliko CHADEMA wanavyoihitaji ACT,fanya utafiti hadi mda huu ACT hawana uhakika wa kushinds jimbo lolote bara labda la Zitto kabwe,CDM hadi mda huu wana uhakika wa majimbo zaidi ya 20 kama kila kitu kitaamuliwa na Sanduku la kura.Kuhusu mgombea Urais,ni ukweli ulio wazi Membe hawezi kupata kura nyingi kumzidi Lissu kama wote watapitishwa na vyama vyao kugombea.
bado ni mapema kusema Membe atagombea uraisZitto hiyo nafasi ya KUB anaitafuta kwa jasho sana na mwenzake Mbatia na mwisho wake watajikuta woote wanaikosa inabakia cdm
Kuna mambo mengine hayana faida wala hasara kwangu ,ila najifunza kitu.Inakusaidia nini hata akipauka?
Hahahhaha... Chadema mmepanik kweli kweliUjinga uleule wa siku zote wapinzani kugawana kura. kwa mtindo huu kwanini CCM wasitawale milele
Wamepanik mkuu,! Wanajua ufaleme wao umefika mwishoMbona Chadema kama mnamshambulia Zitto vipi.
Zito kawachakaza na kuwazidi mbinu chadema wote,! Amemnyakua Seif na sasa Membe, chadema wao wamebaki na NyaranduZitto akicheza karata vizuri ndiye KUB ajaye, nami namtakia kila jema kwa hilo. Kwa zanzibar sioni wa kuwazuia ACT mwaka huu kuongoza serikali.
Chadema wamepaniki sana mkuu! Na walipanic tangu siku ile Seif kaenda ACTKwa hiyo mnataka Zito aache kufuata ndoto zake za kisiasa sababu ya kuogopa kupunguza kura za CDM? Kwa nini CDM wasionekane nao wanapunguza kura za ACT? By the way Zito si mlimfukuza na kummwagia matusi juu? Mwacheni ajenge chama chake, nanyi komaeni na chama chenu
Pompeo asipomtolea ban Makonda ya kuingia USA ndio chadema itashinda oktoba?Ikisha kuwa hivyo ndiyo Pompeo atamtolea ban Makonda ya kutokuingia USA?
Pompeo asipomtolea ban Makonda ya kuingia USA ndio chadema itashinda oktoba?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Zito kawachakaza na kuwazidi mbinu chadema wote,! Amemnyakua Seif na sasa Membe, chadema wao wamebaki na Nyarandu
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Kumbe inawauma sana kuwaona cdm wanazidi kushine? Wakati nyie mnazidi kusinyaa kwa masizi?Wamepanik mkuu,! Wanajua ufaleme wao umefika mwisho
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app