Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
hizi picha tu , kiki ipi tena ?Kiki imebuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi picha tu , kiki ipi tena ?Kiki imebuma
Yes, jiwe atakuwa challenged but na mgombea alietokea upinzani, no more wageni, wapinzani lazima wajione wanastahili na watuoneshe wapiga kura wao wanastahili hiyo nafasi.Safi sana!
Jiwe must be confronted by all means necessary.
Si busara kumwachia Fisi bucha
Kutokumchallenge jiwe kwenye uchaguzi ni mistake ya kisiasa ya karne!
Bara membe,
Islands maalim seif
Itakuwa nafuu ya Tundu Lisu!Muda wowote kutokea sasa Membe atatangaza kujiunga na ACT Wazalendo.
Huu utakuwa ni ushindi kwa Zitto Kabwe maana amekuwa akimuomba sana Membe kujiunga ACT. View attachment 1504642
Zitto is very smart. Bila Chadema kufanya kazi na Zitto hawaponi kabisa! Lazima wakubali kurudi chini wawaunge mkono ACT walau kwa makubaliano ya kuachiwa majimbo maalum.A good strategic combination.
Mkeka umetiki ndio siasa zetu kuzi predict rahisi.Leo tarehe 12 July Membe ameonekana akiwa na baadhi ya viongozi wa ACT hii inaonyesha sasa ni rasmi Membe atagombea kupitia chama hicho tusubiri taarifa zaidi.View attachment 1504646
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo Halikupi Kinga Ya Kujizuia Wewe Kusulubika Kwa Maamuzi Ya Katili JiweNilishasema sijihusishi na vyama teeena
Huu ni mtazamo wako tu, kama jina lako lilivyo.Zitto is very smart. Bila Chadema kufanya kazi na Zitto hawaponi kabisa! Lazima wakubali kurudi chini wawaunge mkono ACT walau kwa makubaliano ya kuachiwa majimbo maalum.