Kizinga mpemba
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 218
- 194
Jamaa jasiri miaka mitatono yupo nje ya utawala wa magufuli na mikwara yote ,mitego,hila na wenzake wote wamesalenda na bado anamatumaini na kaamua afe kiume hongera na mungu akupe umri mrefu na mwisho mwema nikukubali sana na waliokuita ,msomi,Jasusi,kachero mbobezi,na Jina jipya Putini wa Tanzania umeyatendea haki hayo majina