Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha kazi yeyote ni upumbavu tu police ,wenu jeshi lenu bado na membe hakuna kituMembe ametumwa kaufanya kazi na imekubarika
Zitto akicheza karata vizuri ndiye KUB ajaye, nami namtakia kila jema kwa hilo. Kwa zanzibar sioni wa kuwazuia ACT mwaka huu kuongoza serikali.
Anaweza kuwa mtu mmoja huyo, anaanzisha story na kujijibu mwenyewe.Hv nyie mnaongea kwa kujifurahisha au, hv unaijua nguvu ya chadema bara ?? yaani chadema iwapigie magoti Act wazalendo??
KbsaaAnaweza kuwa mtu mmoja huyo, anaanzisha story na kujijibu mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tomato
Kwa hiyo mnataka Zito aache kufuata ndoto zake za kisiasa sababu ya kuogopa kupunguza kura za CDM? Kwa nini CDM wasionekane nao wanapunguza kura za ACT? By the way Zito si mlimfukuza na kummwagia matusi juu? Mwacheni ajenge chama chake, nanyi komaeni na chama chenu
WAZALENDILeo tarehe 12 July Membe ameonekana akiwa na baadhi ya viongozi wa ACT hii inaonyesha sasa ni rasmi Membe atagombea kupitia chama hicho tusubiri taarifa zaidi.View attachment 1504646
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana Kura kwa JASUSI MEMBE.Aliyekuwa Mwanachama wa CCM Bernard Membe amejiunga rasmi na Chama Cha ACT Wazalendo.
View attachment 1504645
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]fv.ck. uReal or photo shop? [emoji137]
Mkuu si ni wewe ulivyokuwa chasema uliwafanyia fitina kafulila na Zitto hadi wakafukuzwa uanachama. Tulia hukohuko StockholmMbona Chadema kama mnamshambulia Zitto vipi.
Inaweza kuwa raisi wake na mke wake,
Kwa tanzania ya leo hakuna mtu atamchagua rafiki wa mashoga,
Hapo membe atawaongezea zito wabunge.
Na chadema kutoka kambi ya upinzani bungeni,
Na wao kubembeleza nafasi vivuli za uwaziri kwa chma kingine.