Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
kachero bhana [emoji849][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiulize kwanza kura 8m za Magufuli 2015 sl(Siyo ccm} zilitokana na nani na ziko wapi ? Wagawe watawale sasa itahamia ccm ; wanaomkubali Membe wako ccm nadhani watampa; na wapinzani wale wanaliompigia kura Magufuli kwa hasira ya Lowasaa kumkosa Dr slaa na Lipumba watampa; Kwa hiyo Mchuano utakuwa mkali ; kati ya Ccm na Ccm
.
Kwani kabla ya U.S kiwa taifa watu walikuwa awazai?Uzazi ataupata wapi? [emoji23][emoji23]
Kinachoweza kuwasaidia ACT probably ni kupata wabunge angalau wanne huko kusini. Membe hana impact yoyote kama baadhi ya watu wanavyofikiria.
By 2024, atakuwa ameshafuata nyayo za Lowassa na Sumaye. History ni mwalimu mzuri sana
... hv unaijua nguvu ya chadema bara ??
Mmeanza kupanikiChadema tusitishike na haya, Chadema inafahamika kwa watanzania, Tundu Lissu anafahamika kwa wapiga kura. Membe hafahamiki Sana. Hana ushawishi ukilinganisha na wa Lissu. Twende na Tundu Lissu.
Chadema tusitishike na haya, Chadema inafahamika kwa watanzania, Tundu Lissu anafahamika kwa wapiga kura. Membe hafahamiki Sana. Hana ushawishi ukilinganisha na wa Lissu. Twende na Tundu Lissu.
Hamna man...wenge lako tuMbona upo too personal mkuu?