Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Kumbe ndio maana Zitto alikuwa anampigia debe Membe, hata kama hajajiunga rasmi, lakini hizi ni dalili atajiunga.

Endapo patakuwa na muungano kati ya Chadema na ACT, ni vyema umakini wa hali ya juu uwepo kwenye kumsimamisha mgombea Urais, hasa upande wa Tanzania Bara.

Yaliyotokea 2015 yanatosha, hakuna haja ya kudanganyika tena na wahamiaji, ni wakati sasa wa upinzani kumsimamisha mgombea wao, watu wenye sifa wapo.
Usitegemee huyo jamaa kusimamishwa kuwa mgombea kama wataungana, chadema hawawezi rudia kosa
 
Hakuna mtu wa kupanic hapa maana tuna uhakika kuwa Lissu ndiye rais wako wa awamu ya sita
Mmeanza kupaniki
Screenshot_20200608-210107.jpeg
 
Zitto is very smart. Bila Chadema kufanya kazi na Zitto hawaponi kabisa! Lazima wakubali kurudi chini wawaunge mkono ACT walau kwa makubaliano ya kuachiwa majimbo maalum.
Wee jamaa usipoitaja chadema unapata tumbo la kuharisha
 
Yaani mimi Membe kwenda ACT mimi kwangu roho kwani kabisa, lakini kwa cdm hapana. Ya Lowassa 2015 yalitutosha, Tundu Lissu anatutosha. Wanaosema eti kura za wapinzani zitagawanyika, kwani za ccm haziyagawanyika? Wagombea wa zimamoto hatutaki tena.
 
Hii inaweza pia kuwa janja ya CCM (TISS) kuonyesha kwamba kuna “demokrasia” at the same time kuzigawa kura. Hili Kachero lipo kazini. CCM na Tume yao hawana hofu yoyote ya kushindwa uchaguzi.

Kwao ni sawa tu hata kuwa na wabunge 60 kutoka pande hiyo nyingine.
 
Hao ndiyo wanaamini kuwa ccm ndiyo yenye haki miliki ya kuitawala Tanzania, na hao ndiyo watakao anzisha vurugu siku ccm ikikndolewa madarakani
Hamna kitu kama hicho, Kura ni siri unawezaje kusema mnahesabika? jibu lake utalipata mapema tu ...Muda utatoa majibu
 
Chadema anzeni vikao na ACT .lengo letu ni moja kumuua nyoka.
 
Hamna kitu kama hicho, Kura ni siri unawezaje kusema mnahesabika? jibu lake utalipata mapema tu ...Muda utatoa majibu
Hapana kama mtu anaficha msimamo wake huyo ni dhaifu wa maamuzi,mguu nje mguu ndani(double standard)
 
Muda wowote kutokea sasa Membe atatangaza kujiunga na ACT Wazalendo.

Huu utakuwa ni ushindi kwa Zitto Kabwe maana amekuwa akimuomba sana Membe kujiunga ACT. View attachment 1504642
Yale Yale! Hivi upinzani hamjifunzi tu? Miaka yote hiyo hamjapata president material? Ila sishangai Membe ndo aliasisi ACT! Upinzani kuchukua nchi bado sana!
 
Back
Top Bottom