Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Umeonaeeeee? Yaani hawa maccm wanataka kutupumbaza kama watoto wadogo
Hakuna cha kazi yeyote ni upumbavu tu police ,wenu jeshi lenu bado na membe hakuna kitu
 
Naona kub wa 2021 anatoka ACT.Chadema watatoa kub kwenye mitandao.
Kwa maana yako cdm akikosa KUB ndiyo itakuwa mwanzo wa Pompeo kumuondolea Bashite ban ya kutoingia USA?
 
BM ni bora ailinde, Heshima yake kwa Taifa kuliko anakoelekea kisiasa maana kushinda hawezi kushinda, Ila Act watapata nguvu katika uchaguzi kutokana na haiba ya Kiongozi huyu mahiri katika diplomasia.
Hakuna cha kuilinda kama mbwai mbwai ,wao kama wamemwaga mboga MEMBE JASUSI anamwaga UGALI.
 
Hapa kinachotakiwa na kinacho ombwa na kila mpenda haki na usawa kwenye nchi yetu ni kuiondoa ccm madarakani,

Hiyo ikishindikana basi ni kuipunguzia ccm vitendea kazi kwa maana wapinzani kushinda viti vingi vya ubunge na udiwani.

Nashukuru umelitambua hilo.
 
Hakuna anaye mbeza Zitto, hapa kila mtu anafurahia namna gani vyama vya upinzani vitakavyo ichachafya ccm
Kuna wenzako hapo juu wameanza kumtukana, ila najua misimamo yako kuhusu Zito, upo +ve naye sana
 
Kwahiyo wote hamuoni? Anyway kumbe jamaa ni mfupi
 
Kwa maana yako cdm akikosa KUB ndiyo itakuwa mwanzo wa Pompeo kumuondolea Bashite ban ya kutoingia USA?
wazungu wanawazuga tu nyinyi sema hamfungui vichwa vyenu.wanaacha kumpa ban waziri wa mambo ya nje wanampa ban makonda.sasa makonda anahudumia nini tanzania kutokea huko U.S?
 
Jiulize kwanza kura 8m za Magufuli 2015 sl(Siyo ccm} zilitokana na nani na ziko wapi ? Wagawe watawale sasa itahamia ccm ; wanaomkubali Membe wako ccm nadhani watampa; na wapinzani wale wanaliompigia kura Magufuli kwa hasira ya Lowasaa kumkosa Dr slaa na Lipumba watampa; Kwa hiyo Mchuano utakuwa mkali ; kati ya Ccm na Ccm
.
 
Zitto huwa hana adabu akisimama na watu wazima ona hiyo mikono alivyoiweka

1594564098004.png
 
wazungu wanawazuga tu nyinyi sema hamfungui vichwa vyenu.wanaacha kumpa ban waziri wa mambo ya nje wanampa ban makonda.sasa makonda anahudumia nini tanzania kutokea huko U.S?
Uzazi ataupata wapi? [emoji23][emoji23]
 
Chadema inaenda kuchukua DOLA mapema tu mwezi Oct, Usichojua ni kwamba wenye Uamuzi wa mwisho ni raia watakaokwenda kuunga foleni katika sanduku la kura siku hizo.
Sasa raia wenyewe wa kuipa nchi cdm mbona mnahesabika kwa macho tu!?.
 
Back
Top Bottom