Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Jamaa jasiri miaka mitatono yupo nje ya utawala wa magufuli na mikwara yote ,mitego,hila na wenzake wote wamesalenda na bado anamatumaini na kaamua afe kiume hongera na mungu akupe umri mrefu na mwisho mwema nikukubali sana na waliokuita ,msomi,Jasusi,kachero mbobezi,na Jina jipya Putini wa Tanzania umeyatendea haki hayo majina

Putin wa Tanzania 😀 😀😀 Wamwera nao kwa Misifa kama Wahaya vile.
 
Hilo lipo wazi sana, itoshe kusema kuwa kuna ka element ka state agent
Ila tokea Zito aanzishe ACT nilishakosa mvuto naye kabisa. ACT ilianzishwa kupunguza kura za UKAWA 2015, na sasa inaenda kupunguza kura za CHADEMA 2020.
 
Hahahahah .....mpaka usawa huu hujui utaelekea wapi😁😁 , watu noma ukimwaga mboga wao wanamwaga ugali
 
niliweka uzi humu moderators wakaufuta niliandika wagombea uraisi wa CCM na upinzani watajukana wikiendi hii watu watege maskio Dodoma na DA RE SALAAM Ambako upinzani watamtambulisha wao kiana.Moderatrs wakautupilia mbali

Haya MEMBE huyo hapo anatambulishwa kiana

Lisu kwa sasa nafasi yake ACT wazalendo imeshazibwa tayari apambane tu na hali yake huko CHADEMA wakimbwaga ndio kwa heri ya kuonana.Sababu yeye alikuwa akivizia wakimpiga chini Chadema aende ACT wazalendo.Sasa hiyo option haipo tena na uwezekano wa yeye kupitishwa na CHADEMA mdogo mno!!! Naliona anguko rasmi la kisiasa la Tundu Lisu
Uzi unamuhusu Membe wewe unamuongelea Lisu. Acha kupiga ramli 28July sio mbali.
 
Zitto is very smart. Bila Chadema kufanya kazi na Zitto hawaponi kabisa! Lazima wakubali kurudi chini wawaunge mkono ACT walau kwa makubaliano ya kuachiwa majimbo maalum.

Zitto akicheza karata vizuri ndiye KUB ajaye, nami namtakia kila jema kwa hilo. Kwa zanzibar sioni wa kuwazuia ACT mwaka huu kuongoza serikali.
 
Ila tokea Zito aanzishe ACT nilishakosa mvuto naye kabisa. ACT ilianzishwa kupunguza kura za UKAWA 2015, na sasa inaenda kupunguza kura za CHADEMA 2020.
Kwa hiyo mnataka Zito aache kufuata ndoto zake za kisiasa sababu ya kuogopa kupunguza kura za CDM? Kwa nini CDM wasionekane nao wanapunguza kura za ACT? By the way Zito si mlimfukuza na kummwagia matusi juu? Mwacheni ajenge chama chake, nanyi komaeni na chama chenu
 
Lissu ndiye rais wako wa awamu ya sita.

Inaweza kuwa raisi wake na mke wake,
Kwa tanzania ya leo hakuna mtu atamchagua rafiki wa mashoga,
Hapo membe atawaongezea zito wabunge.
Na chadema kutoka kambi ya upinzani bungeni,
Na wao kubembeleza nafasi vivuli za uwaziri kwa chma kingine.
 
Back
Top Bottom