Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

Picha: Benard Membe akiwa na viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo

ACT wazalendo imejipanga kuliko chadema sababu bara na visiwani wapo

Chadema Zanzibar haipo ipo tu inachechemea bara tu

Wapiga kura wa Zanzibar hawafiki hata idadi ya wapiga kura wa ubungo. Kwa bara cdm iko mahali yake. Tume huru tu ya uchaguzi itanyoosha kila kitu. Cdm inaamini katika serikali tatu, na sio mbili hizi za kiccm, hivyo ikishika madaraka kutakuwa na muungano kwa serikali tatu.
 
Siku ccm mkitimuliwa madarakani ndiyo siku utauheshimu upinzani
Yale Yale! Hivi upinzani hamjifunzi tu? Miaka yote hiyo hamjapata president material? Ila sishangai Membe ndo aliasisi ACT! Upinzani kuchukua nchi bado sana!
 
Chadema tusitishike na haya, Chadema inafahamika kwa watanzania, Tundu Lissu anafahamika kwa wapiga kura. Membe hafahamiki Sana. Hana ushawishi ukilinganisha na wa Lissu. Twende na Tundu Lissu.
Chadema ACT WAZALENDO wameshapiga bao na waweza kuwa chama kikuu cha upinzani sababu kotekote kipo kina watu bara na visiwani

Mwenye pesa za kampeni Membe kaenda ACT WAZALENDO nyie chadema Lisu lofa hela ya kampeni hana tumaini pekee liliobaki chadema ni kumteua Mbowe au Nyalandu hao ndio wana uwezo wa kipesa kuzunguka nchi nzima.LISU UWEZO WA MIZUNGUKO YAKE NI HUMU JAMII FORUMS ,INSTGRAM NA TWITTER na facebook ambako hujiunga kifurushi cha mia tano
 
Jambo hilo ndiyo sumu ya ccm, hawataki kabisa kulisikia
Wapiga kura wa Zanzibar hawafiki hata idadi ya wapiga kura wa ubungo. Kwa bara cdm iko mahali yake. Tume huru tu ya uchaguzi itanyoosha kila kitu. Cdm inaamini katika serikali tatu, na sio mbili hizi za kiccm, hivyo ikishika madaraka kutakuwa na muungano kwa serikali tatu.
 
Siasa za bongo ngumu sana kuzielewa
Very simple:

ACT watasema wamewin: watavuna a few extra votes za urais, probably watapata wabunge zaidi kidogo na RUZUKU KUONGEZEKA

CCM wataibuka kidedea maana kura za wasioipenda zitagawanywa kati ya Membe na yule ambaye CHADEMA watamsimamisha. At the end of the day, CCM watasema wameshinda
 
Kwahiyo umeamini kuwa ccm lazima mwaka huu mtapishwe chambo?
Chadema ACT WAZALENDO wameshapiga bao na waweza kuwa chama kikuu cha upinzani sababu kotekote kipo kina watu bara na visiwani

Mwenye pesa za kampeni Membe kaenda ACT WAZALENDO nyie chadema Lisu lofa hela ya kampeni hana tumaini pekee liliobaki chadema ni kumteua mbowe au nyalandu hao ndio wana uwezo wa kipesa kuzunguka nchi nzima.LISU UWEZO WA MIZUNGUKO YAKE NI HUMU JAMII FORUMS ,INSTGRAM NA TWITTER ambako hujiunga kifurushi cha mia tano
 
Chadema ACT WAZALENDO wameshapiga bao na waweza kuwa chama kikuu cha upinzani sababu kotekote kipo kina watu bara na visiwani

Mwenye pesa za kampeni Membe kaenda ACT WAZALENDO nyie chadema Lisu lofa hela ya kampeni hana tumaini pekee liliobaki chadema ni kumteua Mbowe au Nyalandu hao ndio wana uwezo wa kipesa kuzunguka nchi nzima.LISU UWEZO WA MIZUNGUKO YAKE NI HUMU JAMII FORUMS ,INSTGRAM NA TWITTER na facebook ambako hujiunga kifurushi cha mia tano
Unaandika kama mtu alietoka chooni bila kunawa mikono.
 
Aliyekuwa Mwanachama wa CCM Bernard Membe amejiunga rasmi na Chama Cha ACT Wazalendo.
View attachment 1504645
Kama taarifa hii ni ya kweli, natambua hitakuwa ni nzuri kwa upande wa Team - CCM. Lakini kimkakati vyama vya CDM na ACT Wazalendo itavipasa kukubaliana kubakiza mpeperusha bendera wa mmoja kwa nafasi ya uraisi ili kukibana vyema chama tawala kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.

Kupitia na vyama vingine rafiki, itavipasa kuachiana majimbo kwa nafasi za ubunge na udiwani ili kuzidi kupeleka kiwewe zaidi kwa Team - CCM. Ili kumshambulia "market leader" sokoni njia sahihi ni kwa "competitors" kufanya "promotion of their respective brands should be under the common umbrella, regardless to thier individual differences". Kitu kinachohitajika ni kuifunika "brand" ya mtawala soko.
 
Zitto is very smart. Bila Chadema kufanya kazi na Zitto hawaponi kabisa! Lazima wakubali kurudi chini wawaunge mkono ACT walau kwa makubaliano ya kuachiwa majimbo maalum.

Never ever, cdm wajinyenyekeze kwa ACT kisa Membe kaenda huko? Bora kupoteza kama kupoteza huko kutakuwa kwa uchaguzi halali, lakini sio kurudia ya 2015. Huu ushauri ndio uliowaingiza mkenge cdm wa kumpokea Lowassa na mafuriko yake 2015, leo hii 90%+ ya waliorejea kuunga mkono juhudi ni waliotoka ccm. Huu ushauri wako wa hofu mfu baki nao, au kawaongezee mbinu zaidi ACT ya kuwa juu ya cdm.
 
Back
Top Bottom