Picha: Bodaboda huwa wanawahi wapi?

Kwa nini serikali isilaumiwe wakati madereva wengi wa bodaboda na bajaji wanaendesha vyombo vyao bila leseni?!

Kwa nini serikali isilaumiwe wakati Hawa bodaboda na bajaji wanakiuka Sheria za usalama Barbarani kama ku-overtake kushoto, kusimama mahali popote kupakia au kushusha abiria, kupakia mishikaki, kupakia mizigo hatarishi n.k. bila kuchukuliwa hatua yoyote na polisi was usalama Barbarani?!
 
Hapo bodaboda ndio amefika alikokuwa anakimbilia.
 
Wanasema Bodaboda zinakuwaga na mizimu, ukiendesha hata kama ulikuwa na akili timamu Akili ghafla zinafyatuka unakuwa kama wao huelewi yaani
 
Wanahangaika na wakina boni yai lakini hao wendawazimu wanaokufa kila siku kwa hayo mamichina hawana habari nao, kimsingi bodaboda ni janga la kitaifa, Kagame pekeyake ndio kaweza maana ukithubutu kukutwa imekula kwako ndiomaana hata kwenye taa wanasimama na kuheshimu, lakini bongo yapo kama manyumbu tu.
 
Mbona ulikuwa umefika!?
 
Mbona ulikuwa umefika!?
Ni kweli, nilikuwa nakaribia lakini Kwa mwendo ule pamoja na kupitishwa katikati ya yale Malori nilihisi roho inataka kutoka 😅

Wale Jamaa ni risk taker sana

Bora upande Uber/bolts huwa wanafata protocol zote za barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…