Picha bora ya mwezi barani Afrika kutoka kwa Mke wa Rais Mteule wa Botswana na somo kwa wanawake wengi wa viongozi

Picha bora ya mwezi barani Afrika kutoka kwa Mke wa Rais Mteule wa Botswana na somo kwa wanawake wengi wa viongozi

Kwenye uchawa na kukiketetea chama hakuna kazi ya kanisa.

Kila siku nakwambia tumia ID moja tu, yenye uwezo wako wote.

Usichanganye watu uwezo wako.

Tetea chama kwa hoja na pinga kwa hoja.


Usijiweke level za Mwijaku na Babalevo; labda uwe una hata diploma.

CCM chama na Lucas Mwashambwa ni mpambanaji.

Japo siyaungi mkono majizi ya CCM wapigania hiko chama cha hovyo kwa kujitolea wanahitaji kulelewa.

Na wewe taahira inabidi uelewe, somo; kama una ID zingine za kuchangia ujinga wenyewe wanajua.

Hawa promote matahaira kisa wanatumia nguvu kujipendekeza.
 
Zambia na Botswana ni kawaida mno kupiga magoti kwa mkubwa. Kuna picha Rais HH kapiga magoti mbele ya chifu wa kikabila.
 
Kwenye uchawa na kukiketetea chama hakuna kazi ya kanisa.

Kila siku nakwambia tumia ID moja tu, yenye uwezo wako wote.

Usichanganye watu uwezo wako.

Tetea chama kwa hoja na pinga kwa hoja.


Usijiweke level za Mwijaku na Babalevo; labda uwe una hata diploma.

CCM chama na Lucas Mwashambwa ni mpambanaji.

Japo siyaungi mkono majizi ya CCM wapigania hiko chama cha hovyo kwa kujitolea wanahitaji kulelewa.

Na wewe taahira inabidi uelewe, somo; kama una ID zingine za kuchangia ujinga wenyewe wanajua.

Hawa promote matahaira kisa wanatumia nguvu kujipendekeza.
Mimi nina ID moja tu na wala siyo chawa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii ndio picha bora kabisa kwa Mwezi huu Barani Afrika kutoka Kwa Mke wa Rais mteule wa Botswana siku ya uapisho wa Mume wake.

Ni picha inayoonyesha namna mwanamke huyu alivyo Mnyenyekevu, mtiifu kwa Mume wake ,Mwanamke mwenye maadili ya kiafrika, aliyefundwa akafundika,aliye lelewa akaleleka, mwenye hofu ya Mungu na upendo wa dhati kifuani pake.

Ikumbukwe ya kuwa Mwanamke huyu ni Msomi sana na aliyepiga kitabu vizuri. Lakini bado ni mnyenyekevu na anayetambua nafasi yake na wajibu wake kwa mume wake. Anajuwa pamoja na Elimu yake kubwa lakini bado yeye ni Mke wa Mtu ,ni Ubavu wa mtu.

Huyu Mama hata ukifuatilia watoto wake utakuta ni wanyenyekevu,wakarimu,wenye hekima, busara na upendo kwa watu wote pasipo viburi, dharau, majivuno wala nyodo. Kwa sababu wamepita katika mikono ya Mwanamke Mwenye hofu ya Mungu, upendo, utii, unyenyekevu na heshima.

Mwanamke huyu ni somo kwa wanawake wengi ambao wakisoma na kuwa na nafasi fulani unakuta hadi ndoa zao zinaanza kuyumba, kukosa mshikamano na upendo. Unakuta ndoa zinapumulia mipira na zilizojaa migogoro, malumbano,ugomvi, mabishano, mpasuko na mashindano kwa kila kitu.

Unakuta kutawala kwa majivuno, viburi na dharau pamoja na kutafuta ushindi na ushindani kwa kila kitu.

Angekuwa Mwengine hapo ungeona akiingia hapo amepandisha mabega utafikiri anataka kuyachomoa juu, angeanza kiburi na kutamani wanawake wengine wote wanyoe vipara utafikiri wamepata Majeraha kichwani na kuanza kubadilisha hata namna ya kuweka mdomo wakati wa kuongea.

Huyu mwanamke unaona kabisa kuwa ni ubavu sahihi na aliyechangia mume wake kufika hapo alipo fika hapo kuwa Rais. Mwanamke wa hivi huifanya ndoa na hata Familia kutamalaki kwa amani, furaha, upendo, maelewano, masikilizano na mshikamano wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wabongo wamemezeshwa sumu kiasi hata mtu akifanya jambo kwa upendo wanaona ni show off
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii ndio picha bora kabisa kwa Mwezi huu Barani Afrika kutoka Kwa Mke wa Rais mteule wa Botswana siku ya uapisho wa Mume wake.

Ni picha inayoonyesha namna mwanamke huyu alivyo Mnyenyekevu, mtiifu kwa Mume wake ,Mwanamke mwenye maadili ya kiafrika, aliyefundwa akafundika,aliye lelewa akaleleka, mwenye hofu ya Mungu na upendo wa dhati kifuani pake.

Ikumbukwe ya kuwa Mwanamke huyu ni Msomi sana na aliyepiga kitabu vizuri. Lakini bado ni mnyenyekevu na anayetambua nafasi yake na wajibu wake kwa mume wake. Anajuwa pamoja na Elimu yake kubwa lakini bado yeye ni Mke wa Mtu ,ni Ubavu wa mtu.

Huyu Mama hata ukifuatilia watoto wake utakuta ni wanyenyekevu,wakarimu,wenye hekima, busara na upendo kwa watu wote pasipo viburi, dharau, majivuno wala nyodo. Kwa sababu wamepita katika mikono ya Mwanamke Mwenye hofu ya Mungu, upendo, utii, unyenyekevu na heshima.

Mwanamke huyu ni somo kwa wanawake wengi ambao wakisoma na kuwa na nafasi fulani unakuta hadi ndoa zao zinaanza kuyumba, kukosa mshikamano na upendo. Unakuta ndoa zinapumulia mipira na zilizojaa migogoro, malumbano,ugomvi, mabishano, mpasuko na mashindano kwa kila kitu.

Unakuta kutawala kwa majivuno, viburi na dharau pamoja na kutafuta ushindi na ushindani kwa kila kitu.

Angekuwa Mwengine hapo ungeona akiingia hapo amepandisha mabega utafikiri anataka kuyachomoa juu, angeanza kiburi na kutamani wanawake wengine wote wanyoe vipara utafikiri wamepata Majeraha kichwani na kuanza kubadilisha hata namna ya kuweka mdomo wakati wa kuongea.

Huyu mwanamke unaona kabisa kuwa ni ubavu sahihi na aliyechangia mume wake kufika hapo alipo fika hapo kuwa Rais. Mwanamke wa hivi huifanya ndoa na hata Familia kutamalaki kwa amani, furaha, upendo, maelewano, masikilizano na mshikamano wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hio wanaume mnataka kunyenyekewa na kupigiwa magoti sio?
Why?
 
Wangapi umewahi kuona wakifanya hivyo hadharani.bila shaka hata wewe mwenyewe utakiri kuwa ni wachache sana.Huyu Mwanamke anahitaji pongezi sana
CCM ina akili ya kuelewa quotes za wivu, nchi yetu ni maskini; maswala ya wivu hayakosekani.

Chuki ni mambo ya kawaida, do you
(Mpaka watu waone sababu ya kukuletea umbea).

Viongozi wa CCM wakitaka kukujua hawatafuata post za JF wanawatu dunia nzima ya kukujua na kukuona.

Mengine ni yako na huu ni ushauri wangu wa mwisho kwako. Do you, hata uwe Alaska wakita kukujua watakutumia watu do you.

Ndio maana uwezi kuona watoto waliolelewa na chama wanaangaika na watu wengine. CCM ni limashine likubwa..
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii ndio picha bora kabisa kwa Mwezi huu Barani Afrika kutoka Kwa Mke wa Rais mteule wa Botswana siku ya uapisho wa Mume wake.

Ni picha inayoonyesha namna mwanamke huyu alivyo Mnyenyekevu, mtiifu kwa Mume wake ,Mwanamke mwenye maadili ya kiafrika, aliyefundwa akafundika,aliye lelewa akaleleka, mwenye hofu ya Mungu na upendo wa dhati kifuani pake.

Ikumbukwe ya kuwa Mwanamke huyu ni Msomi sana na aliyepiga kitabu vizuri. Lakini bado ni mnyenyekevu na anayetambua nafasi yake na wajibu wake kwa mume wake. Anajuwa pamoja na Elimu yake kubwa lakini bado yeye ni Mke wa Mtu ,ni Ubavu wa mtu.

Huyu Mama hata ukifuatilia watoto wake utakuta ni wanyenyekevu,wakarimu,wenye hekima, busara na upendo kwa watu wote pasipo viburi, dharau, majivuno wala nyodo. Kwa sababu wamepita katika mikono ya Mwanamke Mwenye hofu ya Mungu, upendo, utii, unyenyekevu na heshima.

Mwanamke huyu ni somo kwa wanawake wengi ambao wakisoma na kuwa na nafasi fulani unakuta hadi ndoa zao zinaanza kuyumba, kukosa mshikamano na upendo. Unakuta ndoa zinapumulia mipira na zilizojaa migogoro, malumbano,ugomvi, mabishano, mpasuko na mashindano kwa kila kitu.

Unakuta kutawala kwa majivuno, viburi na dharau pamoja na kutafuta ushindi na ushindani kwa kila kitu.

Angekuwa Mwengine hapo ungeona akiingia hapo amepandisha mabega utafikiri anataka kuyachomoa juu, angeanza kiburi na kutamani wanawake wengine wote wanyoe vipara utafikiri wamepata Majeraha kichwani na kuanza kubadilisha hata namna ya kuweka mdomo wakati wa kuongea.

Huyu mwanamke unaona kabisa kuwa ni ubavu sahihi na aliyechangia mume wake kufika hapo alipo fika hapo kuwa Rais. Mwanamke wa hivi huifanya ndoa na hata Familia kutamalaki kwa amani, furaha, upendo, maelewano, masikilizano na mshikamano wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sijui tabia yake,lakini kuna vitu mwanamke akifanya vinaleta ladha flani hivi kwenye mahusiano....
 
Back
Top Bottom