LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
anyoe mnyoo wa heshima, huo alionyoa ni mtindo wa vijana wahuniUlitaka anyoaje ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa Mawazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anyoe mnyoo wa heshima, huo alionyoa ni mtindo wa vijana wahuniUlitaka anyoaje ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa Mawazo
Wameguswa sana na unyenyekevu wa first lady wao mpaka wengine walishindwa kujizuia na kujikuta wakibubujikwa na machozi ya furahaWananchi wa Botswana wabubujikwa na machozi ya furaha baada ya kuona picha hiyo
Mimi nina ID moja tu na wala siyo chawa.Kwenye uchawa na kukiketetea chama hakuna kazi ya kanisa.
Kila siku nakwambia tumia ID moja tu, yenye uwezo wako wote.
Usichanganye watu uwezo wako.
Tetea chama kwa hoja na pinga kwa hoja.
Usijiweke level za Mwijaku na Babalevo; labda uwe una hata diploma.
CCM chama na Lucas Mwashambwa ni mpambanaji.
Japo siyaungi mkono majizi ya CCM wapigania hiko chama cha hovyo kwa kujitolea wanahitaji kulelewa.
Na wewe taahira inabidi uelewe, somo; kama una ID zingine za kuchangia ujinga wenyewe wanajua.
Hawa promote matahaira kisa wanatumia nguvu kujipendekeza.
haya.Naona umechanganyikiwa asubuhi asubuhi
Basi JipangeMimi nina ID moja tu na wala siyo chawa.
Ni showoff tu ......wanawake ni washenzi kwenye mambo ya sirisioni cha ajabu, this might be a showoff to the crowd. Is she doing the same at home?
Wangapi umewahi kuona wakifanya hivyo hadharani.bila shaka hata wewe mwenyewe utakiri kuwa ni wachache sana.Huyu Mwanamke anahitaji pongezi sanaNi showoff tu ......wanawake ni washenzi kwenye mambo ya siri
Kweli kabisa.Wife material
Hakikisha umepata kiti cha serekali ya mtaaWangapi umewahi kuona wakifanya hivyo hadharani.bila shaka hata wewe mwenyewe utakiri kuwa ni wachache sana.Huyu Mwanamke anahitaji pongezi sana
Wabongo wamemezeshwa sumu kiasi hata mtu akifanya jambo kwa upendo wanaona ni show offNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio picha bora kabisa kwa Mwezi huu Barani Afrika kutoka Kwa Mke wa Rais mteule wa Botswana siku ya uapisho wa Mume wake.
Ni picha inayoonyesha namna mwanamke huyu alivyo Mnyenyekevu, mtiifu kwa Mume wake ,Mwanamke mwenye maadili ya kiafrika, aliyefundwa akafundika,aliye lelewa akaleleka, mwenye hofu ya Mungu na upendo wa dhati kifuani pake.
Ikumbukwe ya kuwa Mwanamke huyu ni Msomi sana na aliyepiga kitabu vizuri. Lakini bado ni mnyenyekevu na anayetambua nafasi yake na wajibu wake kwa mume wake. Anajuwa pamoja na Elimu yake kubwa lakini bado yeye ni Mke wa Mtu ,ni Ubavu wa mtu.
Huyu Mama hata ukifuatilia watoto wake utakuta ni wanyenyekevu,wakarimu,wenye hekima, busara na upendo kwa watu wote pasipo viburi, dharau, majivuno wala nyodo. Kwa sababu wamepita katika mikono ya Mwanamke Mwenye hofu ya Mungu, upendo, utii, unyenyekevu na heshima.
Mwanamke huyu ni somo kwa wanawake wengi ambao wakisoma na kuwa na nafasi fulani unakuta hadi ndoa zao zinaanza kuyumba, kukosa mshikamano na upendo. Unakuta ndoa zinapumulia mipira na zilizojaa migogoro, malumbano,ugomvi, mabishano, mpasuko na mashindano kwa kila kitu.
Unakuta kutawala kwa majivuno, viburi na dharau pamoja na kutafuta ushindi na ushindani kwa kila kitu.
Angekuwa Mwengine hapo ungeona akiingia hapo amepandisha mabega utafikiri anataka kuyachomoa juu, angeanza kiburi na kutamani wanawake wengine wote wanyoe vipara utafikiri wamepata Majeraha kichwani na kuanza kubadilisha hata namna ya kuweka mdomo wakati wa kuongea.
Huyu mwanamke unaona kabisa kuwa ni ubavu sahihi na aliyechangia mume wake kufika hapo alipo fika hapo kuwa Rais. Mwanamke wa hivi huifanya ndoa na hata Familia kutamalaki kwa amani, furaha, upendo, maelewano, masikilizano na mshikamano wakati wote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hio wanaume mnataka kunyenyekewa na kupigiwa magoti sio?Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio picha bora kabisa kwa Mwezi huu Barani Afrika kutoka Kwa Mke wa Rais mteule wa Botswana siku ya uapisho wa Mume wake.
Ni picha inayoonyesha namna mwanamke huyu alivyo Mnyenyekevu, mtiifu kwa Mume wake ,Mwanamke mwenye maadili ya kiafrika, aliyefundwa akafundika,aliye lelewa akaleleka, mwenye hofu ya Mungu na upendo wa dhati kifuani pake.
Ikumbukwe ya kuwa Mwanamke huyu ni Msomi sana na aliyepiga kitabu vizuri. Lakini bado ni mnyenyekevu na anayetambua nafasi yake na wajibu wake kwa mume wake. Anajuwa pamoja na Elimu yake kubwa lakini bado yeye ni Mke wa Mtu ,ni Ubavu wa mtu.
Huyu Mama hata ukifuatilia watoto wake utakuta ni wanyenyekevu,wakarimu,wenye hekima, busara na upendo kwa watu wote pasipo viburi, dharau, majivuno wala nyodo. Kwa sababu wamepita katika mikono ya Mwanamke Mwenye hofu ya Mungu, upendo, utii, unyenyekevu na heshima.
Mwanamke huyu ni somo kwa wanawake wengi ambao wakisoma na kuwa na nafasi fulani unakuta hadi ndoa zao zinaanza kuyumba, kukosa mshikamano na upendo. Unakuta ndoa zinapumulia mipira na zilizojaa migogoro, malumbano,ugomvi, mabishano, mpasuko na mashindano kwa kila kitu.
Unakuta kutawala kwa majivuno, viburi na dharau pamoja na kutafuta ushindi na ushindani kwa kila kitu.
Angekuwa Mwengine hapo ungeona akiingia hapo amepandisha mabega utafikiri anataka kuyachomoa juu, angeanza kiburi na kutamani wanawake wengine wote wanyoe vipara utafikiri wamepata Majeraha kichwani na kuanza kubadilisha hata namna ya kuweka mdomo wakati wa kuongea.
Huyu mwanamke unaona kabisa kuwa ni ubavu sahihi na aliyechangia mume wake kufika hapo alipo fika hapo kuwa Rais. Mwanamke wa hivi huifanya ndoa na hata Familia kutamalaki kwa amani, furaha, upendo, maelewano, masikilizano na mshikamano wakati wote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umenena ukweli kabisa.Wabongo wamemezeshwa sumu kiasi hata mtu akifanya jambo kwa upendo wanaona ni show off
CCM ina akili ya kuelewa quotes za wivu, nchi yetu ni maskini; maswala ya wivu hayakosekani.Wangapi umewahi kuona wakifanya hivyo hadharani.bila shaka hata wewe mwenyewe utakiri kuwa ni wachache sana.Huyu Mwanamke anahitaji pongezi sana
Sijui tabia yake,lakini kuna vitu mwanamke akifanya vinaleta ladha flani hivi kwenye mahusiano....Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio picha bora kabisa kwa Mwezi huu Barani Afrika kutoka Kwa Mke wa Rais mteule wa Botswana siku ya uapisho wa Mume wake.
Ni picha inayoonyesha namna mwanamke huyu alivyo Mnyenyekevu, mtiifu kwa Mume wake ,Mwanamke mwenye maadili ya kiafrika, aliyefundwa akafundika,aliye lelewa akaleleka, mwenye hofu ya Mungu na upendo wa dhati kifuani pake.
Ikumbukwe ya kuwa Mwanamke huyu ni Msomi sana na aliyepiga kitabu vizuri. Lakini bado ni mnyenyekevu na anayetambua nafasi yake na wajibu wake kwa mume wake. Anajuwa pamoja na Elimu yake kubwa lakini bado yeye ni Mke wa Mtu ,ni Ubavu wa mtu.
Huyu Mama hata ukifuatilia watoto wake utakuta ni wanyenyekevu,wakarimu,wenye hekima, busara na upendo kwa watu wote pasipo viburi, dharau, majivuno wala nyodo. Kwa sababu wamepita katika mikono ya Mwanamke Mwenye hofu ya Mungu, upendo, utii, unyenyekevu na heshima.
Mwanamke huyu ni somo kwa wanawake wengi ambao wakisoma na kuwa na nafasi fulani unakuta hadi ndoa zao zinaanza kuyumba, kukosa mshikamano na upendo. Unakuta ndoa zinapumulia mipira na zilizojaa migogoro, malumbano,ugomvi, mabishano, mpasuko na mashindano kwa kila kitu.
Unakuta kutawala kwa majivuno, viburi na dharau pamoja na kutafuta ushindi na ushindani kwa kila kitu.
Angekuwa Mwengine hapo ungeona akiingia hapo amepandisha mabega utafikiri anataka kuyachomoa juu, angeanza kiburi na kutamani wanawake wengine wote wanyoe vipara utafikiri wamepata Majeraha kichwani na kuanza kubadilisha hata namna ya kuweka mdomo wakati wa kuongea.
Huyu mwanamke unaona kabisa kuwa ni ubavu sahihi na aliyechangia mume wake kufika hapo alipo fika hapo kuwa Rais. Mwanamke wa hivi huifanya ndoa na hata Familia kutamalaki kwa amani, furaha, upendo, maelewano, masikilizano na mshikamano wakati wote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni kweli kabisa.Sijui tabia yake,lakini kuna vitu mwanamke akifanya vinaleta ladha flani hivi kwenye mahusiano....
Mwashambwa unafikra na upeo wa karibu mnooo unajuaje life lao wakiwa nyumbani????Anakwenda kuwatumikia watu na siyo kula Nchi.
Kwanini utoe hitimisho la kwamba nina upeo wa karibu halafu baadaye ndio uulize swali la ninajuaje? Kwanini usingeuliza swali kabla ya kutoa hitimisho lako?Mwashambwa unafikra na upeo wa karibu mnooo unajuaje life lao wakiwa nyumbani????