Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi ukaelewa kama akili yako ni ndogo.Lukas kweli wewe utopolo!!nini cha ajabu...
Kupiga goti Haina uhusiano wowote na maadili au unyenyekevu. Ni taratibu za kitamaduni tuu. Kanda ya ziwa wanapiga mpaka chini lakini Wana roho ngumu Sana kukuua ni nje njeNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio picha bora kabisa kwa Mwezi huu Barani Afrika kutoka Kwa Mke wa Rais mteule wa Botswana siku ya uapisho wa Mume wake.
Ni picha inayoonyesha namna mwanamke huyu alivyo Mnyenyekevu, mtiifu kwa Mume wake ,Mwanamke mwenye maadili ya kiafrika, aliyefundwa akafundika,aliye lelewa akaleleka, mwenye hofu ya Mungu na upendo wa dhati kifuani pake.
Ikumbukwe ya kuwa Mwanamke huyu ni Msomi sana na aliyepiga kitabu vizuri. Lakini bado ni mnyenyekevu na anayetambua nafasi yake na wajibu wake kwa mume wake. Anajuwa pamoja na Elimu yake kubwa lakini bado yeye ni Mke wa Mtu ,ni Ubavu wa mtu.
Huyu Mama hata ukifuatilia watoto wake utakuta ni wanyenyekevu,wakarimu,wenye hekima, busara na upendo kwa watu wote pasipo viburi, dharau, majivuno wala nyodo. Kwa sababu wamepita katika mikono ya Mwanamke Mwenye hofu ya Mungu, upendo, utii, unyenyekevu na heshima.
Mwanamke huyu ni somo kwa wanawake wengi ambao wakisoma na kuwa na nafasi fulani unakuta hadi ndoa zao zinaanza kuyumba, kukosa mshikamano na upendo. Unakuta ndoa zinapumulia mipira na zilizojaa migogoro, malumbano,ugomvi, mabishano, mpasuko na mashindano kwa kila kitu.
Unakuta kutawala kwa majivuno, viburi na dharau pamoja na kutafuta ushindi na ushindani kwa kila kitu.
Angekuwa Mwengine hapo ungeona akiingia hapo amepandisha mabega utafikiri anataka kuyachomoa juu, angeanza kiburi na kutamani wanawake wengine wote wanyoe vipara utafikiri wamepata Majeraha kichwani na kuanza kubadilisha hata namna ya kuweka mdomo wakati wa kuongea.
Huyu mwanamke unaona kabisa kuwa ni ubavu sahihi na aliyechangia mume wake kufika hapo alipo fika hapo kuwa Rais. Mwanamke wa hivi huifanya ndoa na hata Familia kutamalaki kwa amani, furaha, upendo, maelewano, masikilizano na mshikamano wakati wote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huwezi ukaelewa kama akili yako ni ndogo.
Acha uongo wako hapa weweHayo yanafanyika kila wiki nyumbani kwangu hata kama Nina akili ndogo
Ha ha ha 🤣🤣🤣Ulitaka anyoaje ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa Mawazo
Hakuna chochoteNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio picha bora kabisa kwa Mwezi huu Barani Afrika kutoka Kwa Mke wa Rais mteule wa Botswana siku ya uapisho wa Mume wake.
Ni picha inayoonyesha namna mwanamke huyu alivyo Mnyenyekevu, mtiifu kwa Mume wake ,Mwanamke mwenye maadili ya kiafrika, aliyefundwa akafundika,aliye lelewa akaleleka, mwenye hofu ya Mungu na upendo wa dhati kifuani pake.
Ikumbukwe ya kuwa Mwanamke huyu ni Msomi sana na aliyepiga kitabu vizuri. Lakini bado ni mnyenyekevu na anayetambua nafasi yake na wajibu wake kwa mume wake. Anajuwa pamoja na Elimu yake kubwa lakini bado yeye ni Mke wa Mtu ,ni Ubavu wa mtu.
Huyu Mama hata ukifuatilia watoto wake utakuta ni wanyenyekevu,wakarimu,wenye hekima, busara na upendo kwa watu wote pasipo viburi, dharau, majivuno wala nyodo. Kwa sababu wamepita katika mikono ya Mwanamke Mwenye hofu ya Mungu, upendo, utii, unyenyekevu na heshima.
Mwanamke huyu ni somo kwa wanawake wengi ambao wakisoma na kuwa na nafasi fulani unakuta hadi ndoa zao zinaanza kuyumba, kukosa mshikamano na upendo. Unakuta ndoa zinapumulia mipira na zilizojaa migogoro, malumbano,ugomvi, mabishano, mpasuko na mashindano kwa kila kitu.
Unakuta kutawala kwa majivuno, viburi na dharau pamoja na kutafuta ushindi na ushindani kwa kila kitu.
Angekuwa Mwengine hapo ungeona akiingia hapo amepandisha mabega utafikiri anataka kuyachomoa juu, angeanza kiburi na kutamani wanawake wengine wote wanyoe vipara utafikiri wamepata Majeraha kichwani na kuanza kubadilisha hata namna ya kuweka mdomo wakati wa kuongea.
Huyu mwanamke unaona kabisa kuwa ni ubavu sahihi na aliyechangia mume wake kufika hapo alipo fika hapo kuwa Rais. Mwanamke wa hivi huifanya ndoa na hata Familia kutamalaki kwa amani, furaha, upendo, maelewano, masikilizano na mshikamano wakati wote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mshamba huyo jamaaUlitaka anyoaje ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa Mawazo
Sawa.Hakuna chochote
keHapo nikwamba hata mmewe anajitambua kuwa ni mme wa mtu, na anampenda mkewe, sasa mfano mwanaume akiona kosa Kwa mkewe au hajaelewa kitu anamtukana au kumfokea mbele ya watoto au hata mbele ya watoto wa ndugu zake, hivi hapo mke ataupata moyo wakumpa heshima ya kiasi hivyo? Wanawake wapo wenye heshima sana ila wanaume wanashindwa kuipokea hiyo heshima.
akili mkuu huyu akili zake zimehamaLukas kweli wewe utopolo!!nini cha ajabu...
Zako ndio zimehama.akili mkuu huyu akili zake zimehama
Mnyakyusa wa hovyoZako ndio zimehama.