LGE2024 Picha: CHADEMA tunakubali hali ya kiuchumi ni ngumu lakini this is too much. Hii ni stage au kichanja cha vyombo?

LGE2024 Picha: CHADEMA tunakubali hali ya kiuchumi ni ngumu lakini this is too much. Hii ni stage au kichanja cha vyombo?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
WAngelina nzuri
Wakuu,

Nimelia sana baada ya kuona picha hii ya Tundu Lissu akiwa anahutubia huko Singida.

Najua kuendesha chama cha siasa Tanzaniani ngumu hasa upande wa kifedha lakini ifike hatua mjipe thamani kama Chama Kikuu Cha Upinzani.

Hivi inakuwaje mtu mzito kama Tundu Lissu mnamsimamisha kwenye jukwaa chakavu na baya kiasi hiki?

Stage kama inataka kudondoka, serious?

Soma Pia: Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!

Mna uhakika huyu ndo Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kitaifa?

Kweli mlishindwa kutengeneza stage fulani hata kama ni ndogo lakini ya kisasa inayoendana na HADHI ya chama chenu?

View attachment 3162368

Ukichukua picha hii ukaipeleka hata hapo Malawi, kwa mtu asiyejua ukubwa wa CHADEMA anaweza akasema Lissu ni mjumbe wa nyumba 10 anahutubia wanakijiji.

Tunaelewa hali ni ngumu lakini zingatieni mambo madogo madogo kama haya.
Magufuli angeibomoa...
 
Mkuu na mimi pia sikusema CHADEMA watengeneze stage za gharama.

Pengine hukunielewa.

Wote I'm saying is they can do better. Sijasema watumie all their resources kwenye kujenga majukwaa.

Mbona ACT wenzao wanajitahidi? ACT na CDM kipi chama kikongwe?

..majukwaa yanatengenezwa na wananchi wanyonge walioandaa mkutano.

..Na majukwaa hayo ni kielelezo cha UCHUMI wa wananchi wa eneo husika.
 
..Ccm wanakunja 3.2 BILLION ya ruzuku kila mwezi.

..Chadema haiwezi kushindana nao kwenye matumizi.

..waacheni watumie majukwaa kulingana na uwezo wa wanachama walioandaa mkutano.
Mbona Mbowe anatumia helkota,anatumia v8 jukwaa lake ni standard sio kama hilo kichanja cha kuanikia vyombo!
 
..majukwaa yanatengenezwa na wananchi wanyonge walioandaa mkutano.

..Na majukwaa hayo ni kielelezo cha UCHUMI wa wananchi wa eneo husika.

Kwa hoja yako hii

Maana yake ni kwamba kama Lissu angekuwa Oysterbay stage yake ingekuwa nzuri zaidi?

Hivi ushawahi kuona makao makuu ya CDM yalipo. Mbowe anapoishi?

Ntakuwa wa mwisho kuamini kuwa CHADEMA hawana resources za kutengeneza somthing better than that
 
Wakuu,

Nimelia sana baada ya kuona picha hii ya Tundu Lissu akiwa anahutubia huko Singida.

Najua kuendesha chama cha siasa Tanzaniani ngumu hasa upande wa kifedha lakini ifike hatua mjipe thamani kama Chama Kikuu Cha Upinzani.

Hivi inakuwaje mtu mzito kama Tundu Lissu mnamsimamisha kwenye jukwaa chakavu na baya kiasi hiki?

Stage kama inataka kudondoka, serious?

Soma Pia: Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!

Mna uhakika huyu ndo Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kitaifa?

Kweli mlishindwa kutengeneza stage fulani hata kama ni ndogo lakini ya kisasa inayoendana na HADHI ya chama chenu?

View attachment 3162368

Ukichukua picha hii ukaipeleka hata hapo Malawi, kwa mtu asiyejua ukubwa wa CHADEMA anaweza akasema Lissu ni mjumbe wa nyumba 10 anahutubia wanakijiji.

Tunaelewa hali ni ngumu lakini zingatieni mambo madogo madogo kama haya.
Ni watu wenye 'consumer mentality' ambao wanaona 'material possession' kama utukufu wao. Ni namna ya kuchagua tu.
 
Mbona Mbowe anatumia helkota,anatumia v8 jukwaa lake ni standard sio kama hilo kichanja cha kuanikia vyombo!

..hata Lissu ile gari yake yenye matobo ya risasi ni V-8. Lakini ni gari binafsi.

..hilo jukwaa alilotumia Lissu ni la wananchi waliomualika ktk mkutano wao.

..wananchi uwezo wao ndipo tulipofika.

..hata Mbowe ni mara chache kutumia helikopta, au majukwaa ya bei mbaya.

..Je, kampeni hizi umeona helikopta?
 
..hata Lissu ile gari yake yenye matobo ya risasi ni V-8. Lakini ni gari binafsi.

..hilo jukwaa alilotumia Lissu ni la wananchi waliomualika ktk mkutano wao.

..wananchi uwezo wao ndipo tulipofika.

..hata Mbowe ni mara chache kutumia helikopta, au majukwaa ya bei mbaya.

..Je, kampeni hizi umeona helikopta?
Pale kuna bendera za chadema hakuna wananchi wanao andaa mkutano kwa bongo hii........!<
 
Ni watu wenye 'consumer mentality' ambao wanaona 'material possession' kama utukufu wao. Ni namna ya kuchagua tu.

Consumer Mentality? Mbona CDM walihama makao makuu yao ya mwanzo wakaenda kujitanua Mikocheni?

Kwanini wasingebaki huko huko walipokuwa mwanzo?

Kama wana makao makuu yenye hadhi, kwanini wasijitahidi kutengeneza majukwaa mazuri kwa viongozi wao?

Unapajua Mbowe anapoishi?
 
..hata Lissu ile gari yake yenye matobo ya risasi ni V-8. Lakini ni gari binafsi.

..hilo jukwaa alilotumia Lissu ni la wananchi waliomualika ktk mkutano wao.

..wananchi uwezo wao ndipo tulipofika.

..hata Mbowe ni mara chache kutumia helikopta, au majukwaa ya bei mbaya.

..Je, kampeni hizi umeona helikopta?

Mkuu acha kutafuta sympathy.

Kwa hiyo kama wananchi ndo wameandaa mnashindwa hata kujiongeza kidogo?

Na ndo maana hata huwezi kupata a single photo inayomuonesha Lissu akiwa na wagombea wa CDM anaowanadi wote wakiwa on stage kwa pamoja. Hiyo stage ni ndogo, pathetic and demeaning.

Acha kuwasingizia Wana Singida mkuu. CDM wana ignorance kwenye mambo hayo
 
Mkuu acha kutafuta sympathy.

Kwa hiyo kama wananchi ndo wameandaa mnashindwa hata kujiongeza kidogo?

Na ndo maana hata huwezi kupata a single photo inayomuonesha Lissu akiwa na wagombea wa CDM anaowanadi wote wakiwa on stage kwa pamoja. Hiyo stage ni ndogo, pathetic and demeaning.

Acha kuwasingizia Wana Singida mkuu. CDM wana ignorance kwenye mambo hayo

..ndio uwezo wa kiuchumi wa wananchi wa maeneo mengi wanakofika viongozi wa Chadema.

..kwanini viongozi wa Chadema watengenezewe majukwaa ya bei mbaya wakati watoto hawana madawati na vyoo mashuleni?
 
Mkuu na mimi pia sikusema CHADEMA watengeneze stage za gharama.

Pengine hukunielewa.

Wote I'm saying is they can do better. Sijasema watumie all their resources kwenye kujenga majukwaa.

Mbona ACT wenzao wanajitahidi? ACT na CDM kipi chama kikongwe?
Act ina vikwazo gani inawekewa na serikali??

Binafsi sioni hata umuhimu wa jukwaa kua la kisasa kama unavyodai hasa kwa uchaguzi huu wa serikali za mitaa, kina Lissu wanatia nguvu kwa wanachama wao huko kwenye kata na vijiji vyao, bila shaka ni maeneo mengi wanatembelea, sio maeneo yote wanachama wana ukwasi walau wa hilo jukwaa alilosimamia.

Tuwachambue kwa sera zao, sio ukwasi wao.
 
Wakuu,

Nimelia sana baada ya kuona picha hii ya Tundu Lissu akiwa anahutubia huko Singida.

Najua kuendesha chama cha siasa Tanzaniani ngumu hasa upande wa kifedha lakini ifike hatua mjipe thamani kama Chama Kikuu Cha Upinzani.

Hivi inakuwaje mtu mzito kama Tundu Lissu mnamsimamisha kwenye jukwaa chakavu na baya kiasi hiki?

Stage kama inataka kudondoka, serious?

Soma Pia: Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!

Mna uhakika huyu ndo Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kitaifa?

Kweli mlishindwa kutengeneza stage fulani hata kama ni ndogo lakini ya kisasa inayoendana na HADHI ya chama chenu?

View attachment 3162368

Ukichukua picha hii ukaipeleka hata hapo Malawi, kwa mtu asiyejua ukubwa wa CHADEMA anaweza akasema Lissu ni mjumbe wa nyumba 10 anahutubia wanakijiji.

Tunaelewa hali ni ngumu lakini zingatieni mambo madogo madogo kama haya.
Sasa si afadhali hii kuliko kusimama juu ya Landcruizer.
 
Wakuu,

Nimelia sana baada ya kuona picha hii ya Tundu Lissu akiwa anahutubia huko Singida.

Najua kuendesha chama cha siasa Tanzaniani ngumu hasa upande wa kifedha lakini ifike hatua mjipe thamani kama Chama Kikuu Cha Upinzani.

Hivi inakuwaje mtu mzito kama Tundu Lissu mnamsimamisha kwenye jukwaa chakavu na baya kiasi hiki?

Stage kama inataka kudondoka, serious?

Soma Pia: Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!

Mna uhakika huyu ndo Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kitaifa?

Kweli mlishindwa kutengeneza stage fulani hata kama ni ndogo lakini ya kisasa inayoendana na HADHI ya chama chenu?

View attachment 3162368

Ukichukua picha hii ukaipeleka hata hapo Malawi, kwa mtu asiyejua ukubwa wa CHADEMA anaweza akasema Lissu ni mjumbe wa nyumba 10 anahutubia wanakijiji.

Tunaelewa hali ni ngumu lakini zingatieni mambo madogo madogo kama haya.
Labda wamefata sera na siyo stegi huwezi juwa.
 
Chadema wakishika nchi cjui wataanza na lipi 😂 kujenga nchi, kujenga chama, kujilimbikizia mali au kulipa kisasi 😂

Anyway, chadema kimejijenga moyoni mwa watanzania 😎
 
..majukwaa yanatengenezwa na wananchi wanyonge walioandaa mkutano.

..Na majukwaa hayo ni kielelezo cha UCHUMI wa wananchi wa eneo husika.
Dah ww jamaa 😂
Usituone sisi wote wapuuzi humu kisa uchawa wako kwa chadema
 
Back
Top Bottom