Wakuu,
Nimelia sana baada ya kuona picha hii ya Tundu Lissu akiwa anahutubia huko Singida.
Najua kuendesha chama cha siasa Tanzaniani ngumu hasa upande wa kifedha lakini ifike hatua mjipe thamani kama Chama Kikuu Cha Upinzani.
Hivi inakuwaje mtu mzito kama Tundu Lissu mnamsimamisha kwenye jukwaa chakavu na baya kiasi hiki?
Stage kama inataka kudondoka, serious?
Soma Pia: Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!
Mna uhakika huyu ndo Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kitaifa?
Kweli mlishindwa kutengeneza stage fulani hata kama ni ndogo lakini ya kisasa inayoendana na HADHI ya chama chenu?
View attachment 3162368
Ukichukua picha hii ukaipeleka hata hapo Malawi, kwa mtu asiyejua ukubwa wa CHADEMA anaweza akasema Lissu ni mjumbe wa nyumba 10 anahutubia wanakijiji.
Tunaelewa hali ni ngumu lakini zingatieni mambo madogo madogo kama haya.
Mjinga mjinga unaonyesha upande wa barabarani wakati watu wamekaa upande mwingine. Hamjui hata kutengeneza picha fake