Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jukumu lao sasa kuleta taarifa kamili, unapoambiwa daraja kiasa kadhaa, picha ndio hii, utafanya niji zaidi ya kuzungumzia ulicholetewa? Kama inahisi na nyumba za wafanyakazi ni jukumu lao kusema, au kama inahusisha na maintanance kwa miaka 20, ni jukumu lao kusemaTatizo wabongo ni wajuaji sana...Umeona iyo contract ya 7.2b inahusisha nini na nini kwenye huo ujenzi?
ndiyo hapo sasa. Tunaishia kubwabwaja mitandaoni halafu tunaufyata.Kwani hata mkiambiwa ni trillion 3.5 watz mtafanyaje? Mtapiga kelele baada ya wiki mnasahau
Hivi unaweza kutoa gharama ya hiyo daraja kwa kuwekewa tu hiyo picha?Suala sio daraja la namna gani, suala ni daraja la namna hiyo iliyopo kwenye picha kugharimu bilioni 7.2. Daraja halina tatizo kabisa, ni zuri, ila bei iliyolipwa ndio tatizo..
Unatania au unasema kweli? Unajua standard ya lami/km ni Bil 3? Sasa iweje ziwe pande zote mbili.Basi ni vyema taarifa wanazotoa zikawa comprehensive kwa kueleza hayo yote, ili kuondoa taharuki. Kama ni kilomita 10 za lami kwa kila upande inaweza ikamake
Sense
Alitolea mfano tu mkuu kwani habari haijajitosheleza ili kuwe na constructive commentsUnatania au unasema kweli? Unajua standard ya lami/km ni Bil 3? Sasa iweje ziwe pande zote mbili.
Wakifanya wengine mazuri - Mama anaupiga mwingi.ila hili suala la kumlaumu rais kwa vitu alivyofany amtu mwingine mnamkosea sana huo ni ulafi wa baadhi ya watendaji tu sasa rais atfanya mangapi?
Kwa mujibu wa hisia zako au umepiga hesabu kitaalamu?Kwa daraja hilo kwa hesabu za haraka haraka halizidi bilioni 2
Mungu sio mjinga kiasi hicho na wala ha hangaiki na maswala kama hayaNdio hivyo ila Mungu yupo.
The buck stops with her!ila hili suala la kumlaumu rais kwa vitu alivyofany amtu mwingine mnamkosea sana huo ni ulafi wa baadhi ya watendaji tu sasa rais atfanya mangapi?
Ila sifa kwa mambo yaliyofanywa na wengine ziende kwake!!?ila hili suala la kumlaumu rais kwa vitu alivyofany amtu mwingine mnamkosea sana huo ni ulafi wa baadhi ya watendaji tu sasa rais atfanya mangapi?
Billion 2??? Hilo linajengwa kwa million 300 tu.Kwa daraja hilo kwa hesabu za haraka haraka halizidi bilioni 2