Picha: Daraja la Bilioni 7.2 Kibiti

Picha: Daraja la Bilioni 7.2 Kibiti

weka.picha vizuri kisha tuhoji. ukipiga picha upande ni ngumu sana kuhoji. kwa nini nasema hivyo hawez jua daraja lina urefu gani? mbili je daraja ni sehemu ya barabara ? au barabara ni sehemu ya daraja. tatu usumbufu wa hiyo eneo likoje.kina cha maji kikoje udongo wa eneo hilo likoje yaann mambo ni mengi.hawez kuketa hoja hapa labda eneo hilo lilikuwa topetope
 
weka.picha vizuri kisha tuhoji. ukipiga picha upande ni ngumu sana kuhoji. kwa nini nasema hivyo hawez jua daraja lina urefu gani? mbili je daraja ni sehemu ya barabara ? au barabara ni sehemu ya daraja. tatu usumbufu wa hiyo eneo likoje.kina cha maji kikoje udongo wa eneo hilo likoje yaann mambo ni mengi.hawez kuketa hoja hapa labda eneo hilo lilikuwa topetope
Picha sijapiga mimi, Pia hayo maswali ni kazi yao kutoa ufafanuzi, sio sisi tuanze kubuni..
 
kuna mdau ktk uzi huu amechangia akisema kwamba raisi ana uweo wa kujua kila kitu kinachofanyika nchini kwa kutumia maafisa salama. Kwa kweli kama nusu tu ya wabongo tuna akili kama hizo ndio maana kuna komenti za lawama kwa rais na viongozi ambazo nyinginezo z kipuuzi sana . Kwa mtazamo wangu wengi wenye kundi hilo Nni ZERO BRAIN. Kwa rais kujua kila kitu kinachofanyika inabidi maafisa usalama na ma snitch wawe wengi kuliko idadi ya raia walioko nchini. Sasa ogopa sana watu kama hao waandike uzi humu jf, utakuta wao wanajiweka kujua kila kitu hawajifunzi..
 
kuna mdau ktk uzi huu amechangia akisema kwamba raisi ana uweo wa kujua kila kitu kinachofanyika nchini kwa kutumia maafisa salama. Kwa kweli kama nusu tu ya wabongo tuna akili kama hizo ndio maana kuna komenti za lawama kwa rais na viongozi ambazo nyinginezo z kipuuzi sana . Kwa mtazamo wangu wengi wenye kundi hilo Nni ZERO BRAIN. Kwa rais kujua kila kitu kinachofanyika inabidi maafisa usalama na ma snitch wawe wengi kuliko idadi ya raia walioko nchini. Sasa ogopa sana watu kama hao waandike uzi humu jf, utakuta wao wanajiweka kujua kila kitu hawajifunzi..
Ninachoweza kusema kwa hakika na kwa kujiamini ni kwamba wewe ndiye mpumbavu. Tatizo la mpumbavu ni kwamba anaamini anajua kumbe hajui. Pumbavu hafichi ujinga wake, hapana, anauanika akiamini anachosema ni sahihi. Poor Tanzania, watu wa aina yako ndio hao hao wametamalaki nchini. Usiku mwema Phaul...!
 
kuna mdau ktk uzi huu amechangia akisema kwamba raisi ana uweo wa kujua kila kitu kinachofanyika nchini kwa kutumia maafisa salama. Kwa kweli kama nusu tu ya wabongo tuna akili kama hizo ndio maana kuna komenti za lawama kwa rais na viongozi ambazo nyinginezo z kipuuzi sana . Kwa mtazamo wangu wengi wenye kundi hilo Nni ZERO BRAIN. Kwa rais kujua kila kitu kinachofanyika inabidi maafisa usalama na ma snitch wawe wengi kuliko idadi ya raia walioko nchini. Sasa ogopa sana watu kama hao waandike uzi humu jf, utakuta wao wanajiweka kujua kila kitu hawajifunzi..
Ninachoweza kusema kwa hakika na kwa kujiamini ni kwamba wewe ndiye mpumbavu. Tatizo la mpumbavu ni kwamba anaamini anajua kumbe hajui. Pumbavu hafichi ujinga wake, hapana, anauanika akiamini anachosema ni sahihi. Poor Tanzania, watu wa aina yako ndio hao hao wametamalaki nchini. Usiku mwema Phaul...!
Naona una ID nyingi inaelekea wewe ndio menye id husika. Ujumbe delivered
 
Tunaomba Mkataba kwanza, tusilete ujuaji hapa! Uwenda kwenye Mkataba Kuna mambo ya msingi yapo stated daraja inclusive!

Wewe umebandua hako kakipande ukatuletea!

Nipo Marynka hapa Ukraine tunashangulia ujio wa makomandoo wa Urus maana mapigano yanelekea Kupyansk Kharkiv
 
Back
Top Bottom