Picha: Daraja la Bilioni 7.2 Kibiti

Picha: Daraja la Bilioni 7.2 Kibiti

Kwa ukumbusho tu...

1704454992791.png


Urefu wa kamba...
Billioni 17.6​
 
Vitu tusivyojiuliza..
i/ corporate tax ni almost 30% ya hiyo pesa ambayo nyingi serikali yenyewe inaichukua.

ii/ Barabara na miundombinu kuingia darajani na kutoka daraji ni km ngapi zimetengenezwa

iii/ hilo daraja lina ulefu kiasi gani ili tuweze kukadilia,

Tukiweza kujua haya machache basi tutaongea, otherwise tutarudi kwenye kauli ya BM, No research no right to speak.
 
Hivi unaweza kutoa gharama ya hiyo daraja kwa kuwekewa tu hiyo picha?
Nikikuwekea picha ya kibanda cha mlinzi nikakwambia kimejengwa kwa milioni 300, utanyamaza tu kisa huwezi kujua gharama ya kibanda kwa kuangalia picha?
 
Unatania au unasema kweli? Unajua standard ya lami/km ni Bil 3? Sasa iweje ziwe pande zote mbili.
Nimetoa mfano, waseme hiyo pesa ni ya daraja tu au pamoja na barabara, na ni kilomita ngapi kama zipo?
 
View attachment 2862449

Kwa kweli hata sijui nianzie wapi kuongea, au basi..

Mimi nadhani Africa/Tanzania tuachane na hizi ngonjera za maendeleo. Haya tuliyonayo yanatosha.
tukifanya hivo tutaishi kwa amani bila kulaumiana.

Watawala wanajua wanatudanganya. Watawaliwa tunajua tunadanganywa. Ilmradi tunaishi kwa kuviziana.
 
Vitu tusivyojiuliza..
i/ corporate tax ni almost 30% ya hiyo pesa ambayo nyingi serikali yenyewe inaichukua.

ii/ Barabara na miundombinu kuingia darajani na kutoka daraji ni km ngapi zimetengenezwa

iii/ hilo daraja lina ulefu kiasi gani ili tuweze kukadilia,

Tukiweza kujua haya machache basi tutaongea, otherwise tutarudi kwenye kauli ya BM, No research no right to speak.
Hiyo sio kazi yetu, ni kazi yao wao kutoa huo utetezi, kwanini tuanze kubuni buni vitu, kama kuna hayo mambo yawekwe wazi..
 
Back
Top Bottom