Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
P******mb........f wakati wa nwamba hizo pesa angezipitisha kwenye kila tobo. The head matters. Alaumiwe Nani sasa hao ni watu wake Sisi hatuwajuiila hili suala la kumlaumu rais kwa vitu alivyofany amtu mwingine mnamkosea sana huo ni ulafi wa baadhi ya watendaji tu sasa rais atfanya mangapi?
Khaaaaaaaaaaa......?7.2 bilion.....?ndo Hilo hapo jamani?kweli bongo Noma.
Nikikuwekea picha ya kibanda cha mlinzi nikakwambia kimejengwa kwa milioni 300, utanyamaza tu kisa huwezi kujua gharama ya kibanda kwa kuangalia picha?Hivi unaweza kutoa gharama ya hiyo daraja kwa kuwekewa tu hiyo picha?
Nimetoa mfano, waseme hiyo pesa ni ya daraja tu au pamoja na barabara, na ni kilomita ngapi kama zipo?Unatania au unasema kweli? Unajua standard ya lami/km ni Bil 3? Sasa iweje ziwe pande zote mbili.
Hiyo sio kazi yetu, ni kazi yao wao kutoa huo utetezi, kwanini tuanze kubuni buni vitu, kama kuna hayo mambo yawekwe wazi..Vitu tusivyojiuliza..
i/ corporate tax ni almost 30% ya hiyo pesa ambayo nyingi serikali yenyewe inaichukua.
ii/ Barabara na miundombinu kuingia darajani na kutoka daraji ni km ngapi zimetengenezwa
iii/ hilo daraja lina ulefu kiasi gani ili tuweze kukadilia,
Tukiweza kujua haya machache basi tutaongea, otherwise tutarudi kwenye kauli ya BM, No research no right to speak.
Imeisha hiyoo
Jamaa wanaitafuna vizuri nchiNdio hivyo ila Mungu yupo.
Sahihi kabisaHiyo sio kazi yetu, ni kazi yao wao kutoa huo utetezi, kwanini tuanze kubuni buni vitu, kama kuna hayo mambo yawekwe wazi..
CCM ni majangili
Kula kwa urefu wa kamba yako Ila usile sana utalewa, niamini Mimi!
Kwa mkwe huko
Yaani acha tu..Hicho kitu ni daraja ya Bilioni saba???.Tuwe Seriousy basi.