Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BXF ni gari ya mwaka juzi........
gAri ya kishamba!! anunue Range or any other sports car
BXF ni gari ya mwaka juzi........
Ningefurah sana kumuona kahamia kwenye mjengo wake badala ya kuangaika na ma v8,aka ajue kabisa Elimu hana,na hizo pesa ni za msimu tu kama anabisha amuulize Mr nice,huu ni mda wake itafika kesho ikawa zamu ya mavoko
BXF ni gari ya mwaka juzi........
Does it matter?
gAri ya kishamba!! anunue Range or any other sports car
Umetisha,mwenyewe kaficha herufi ya mwanzo
hilo gar mpaka mmiliki namjua sema sipendi kujadili personal life ya mtu ktk uhalisia huyo dogo hela ya kununua na kutunza land cruiser v8 hana ni wavivu wa kufikiri tu ndo wanaweza kuamini
Kaka funguka,usijali tindikali siku izi hamna hondoa hofu,tiririka
Ila huyu jamaa mbahili hatari,wema atamkumbuka sana clement,kwa hustle za diamond halafu from no where amuhonge wema v8? Thubutuu..thumb up brother,anachapa anakimbia zake
Naona anajitahidi kweli kuificha hiyo B wananchii tusiione...sidhani kama ni bahati mbaya hizo picha zote zifiche B