Kibonde ndani ya Lupango
Kama unajua askari wote UKAWA mbona huwambii wenzio kuwa UKAWA NI UNSTOPPABLE!!!
Unakumbuka huko nyuma ilishatokea watangazaji wa radio anayoifanyia Kibonde watangazaji kugombana live kwenye kipindi! Kwa hiyo usishanage Katiba ya watu wanaofanya kazi kwenye radio hii na usimamizi wa madili yao.Mkuu hapo nilipotia red naunganga na wewe kwa 100% jamaa ilibidi akitoka hapo selo akutane na barua ya kufukuzwa kazi na mikataba yote ya matangazo ikatishwa maana anaelimisha nini katika jamii kama anaweza kulewa na kutenda makosa kama hayo nini kitamzuia akilewa asichepuke kupingana na tangazo lake.........
Hapa akiwa lumande.
MkuuRevocatus Kashaga kama vipi iongezee na picha hii hapo juu kwenye thread mama.
Wangekuwa wa magharibi sasa hivi wangeanza kuondoa udhamini wao na kumtumia kwa matangazo yao.
Wangekuwa wa magharibi sasa hivi wangeanza kuondoa udhamini wao na kumtumia kwa matangazo yao.
Mods pls tatueni hii issue maana kuna mkanganyiko wengine wanasema tangazo wengine wanasema ni kweli nadhani mna wahandishi wa habari ebu watumieni kupata ukweli wa hii issue kama ni tangazo muupdate kwa juu na thread ifungwe.
Ni kama anasema 'mnajifanya wajanja eeh? Mnanijua mimi nani? Sasa subirini nitoke ndo mtajua kwamba si kila mtu huwa anawekwa mahabusu'......najaribu tu kubuni lol
Wamtoe jumapili