Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

ImageUploadedByJamiiForums1407605025.569074.jpg
Akidhibitiwa na wana usalama


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Last edited by a moderator:
Mnaosema ni tangazo jibuni maswali haya 1:Kampuni gani iko responsible na production ya hilo tangazo? 2: Kibonde aliiingia mkataba na kampuni au jeshi la police au Wizara ya mambo ya ndani kuhusu kutengeneza hilo tangazo? 3: Je Ubungo mataa ndio ilikuwa desired location? 4: picha na clips zinazozunguka whatsaap hazionyeshi shooting crew na Vifaa vyao Kama kamera, lights etc je walikuwa wana shoot Kwa satellite? 5: Jana kibonde alionekana na hilo shati kwenye hafla Dodoma ya NHC so inamaana habadili shati au ndio katoka kwenye mitungi yake usiku kucha na kufanya mifujo bararani.

Kibonde ni mlevi mbwa tu hakuna kingine na mjuaji sana.
 
Ama kweli leo Kibonde kabondeka!ujanja na ujuaji wote kwisha...the guy thought he was above the law.
 
Invisible mlituambia Jamii Media imeajili waandishi wake wa habari sasa wanafanya nini hii thread tumeshaanza kulishana matango pori ni kwa nini waandishi wa Jamii media polisi tupate usahihi wa habari hii?
 
Last edited by a moderator:
Dah... Kweli mwosha huoshwa! Huyu jamaa anajifanya kwamba anajua kila kitu.. Kuanzia dini, sheria, uchumi, ufundi, siasa na hata mahusiano ya jamii. Leo imekuwaje?
 
Back
Top Bottom