Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Kwa taarifa hiyo hapo juu, Kibonde anakabiliwa na makosa yafuatayo:
(1) kuendesha gari amelewa
(2) kuendesha kwa use be na kusababisha ajali
(3) kukataa kutii amri halali ya polisi (3)
(4) kutaka kumgonga polisi
(5) kumteka polisi n.k.
anaho kazi kweli kweli, maana imehama kutoka traffic offence na kupelekea criminal

kwa tanzania hapa hana kosa
 
watu wa karibu na nani?
kwanza haipendi JF, pili mjuaji mjuaji sana, tatu anadharau, 4 hajielewi kama hajielewi, 5 endelea na ww
Ushabiki wake na propaganda kwa magamba umepitiliza, kiasi ambacho vipindi anavyoviendesha Clouds FM, wakati mwingine utahisi unasikiliza Radio Uhuru!
 
Sio kufurahia Hapana bali ni kuto kuelewa mtu mkubwa mwanye heshma zake alafu anafanya jambo la kipumbavu, sawa ndio ajali imetokea yann usiache sheria ikafuata mkondo wake na yaishe kiusalama, haya angalia yote hayo yalio mkuta kudhalilishwa Kama jambazi sugu Ivii heheheeee it's funny kwakweli...
Nimawazo tu.

Mkuu lile ni igizo la Polisi na Kibonde kwenye filamu ya utii bila shuruti.
Yaan it was stupid at its best...
 
kawaida ya watanzania tunatabia za chukichuki kwa tabia hii tunaipeleka nchi kubaya. naombe tuwe makini
 
askari wanajitahidi sana kazi nzuri

Ni kweli High Vampire wanafanya kazi nzuri sana ila kwa bahati mbaya sana wanachukiwa na watu wengi.Kiukweli wanahitaji kutiwa moyo sana mi binafsi huwa nawaonea huruma sana kwa kazi yao Hiyo ngumu.
 
Last edited by a moderator:
Invisible mlituambia Jamii Media imeajili waandishi wake wa habari sasa wanafanya nini hii thread tumeshaanza kulishana matango pori ni kwa nini waandishi wa Jamii media polisi tupate usahihi wa habari hii?

Nimetembelea wall ya Anord Kayanda kweli wako ndani na kwa maelezo yake hadi Captain Gadna na yeye yuko ndani Oysterbay police
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa hiyo hapo juu, Kibonde anakabiliwa na makosa yafuatayo:
(1) kuendesha gari amelewa
(2) kuendesha kwa use be na kusababisha ajali
(3) kukataa kutii amri halali ya polisi (3)
(4) kutaka kumgonga polisi
(5) kumteka polisi n.k.
anaho kazi kweli kweli, maana imehama kutoka traffic offence na kupelekea criminal

Sio kwa Nchi yetu hii,na si ajabu wakasema walikua wana tengeneza tangazo hilo sio tukio la kweli.
 
If it was a puplic attention they really nailed it, lakin cha kujiuliza kwann hii ki2imesambaa gafla ivyoo...🚐😱😱
 
Back
Top Bottom