Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Nimetembelea wall ya Anord Kayanda kweli wako ndani na kwa maelezo yake hadi Captain Gadna na yeye yuko ndani Oysterbay police

Gadner anahusika vipi na kesi ya Kibonde? nimesearch facebook Anord Kayanda pijampata.
 
Modes tafadhali hii kitu kimeanza asubuhi nabado hadi usiku huu watu hatuna uhakika kama nikweli ama act.. Toeni tamko la kuthibitisha hili kama vipi thread ifungwe.
 
sijui kwann jf huwa wanapenda sana kuhukumu, well to me mtu yyte akikosea anakosea kama binadamu mwingine yyte yule na hili halifanyi mtu ashushiwe utu wake kwa kashfa na matusi.

kwangu mimi hii wala sio habari na in fact anaonekana kwamba ni mtu ambaye wanajf wanakunwa kila wamuonapo ndo mana mnampa publicity kubwa kiasi hiki.
 
Umeachakuhukumu?

Sheenz type
 

Wewe ndio umepelekaa habari bongo5 ama umecopy kule?
 
Huko selo ngoja wampapase kwanza interahamwe mkubwa yule! Yaani ningekuwa karibu ningetupia Kondom lock up ili kuwakinga jamaa
 
by Njou;
Ha haaa naelekea mitaa ya Ihanja leo




Mkuu Njou wasalimie Nkhoiree hapo!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…