MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 560
Utii wa "SHERI" bila shuruti ni jina la movie,kampuni au nini hasa!
sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utii wa "SHERI" bila shuruti ni jina la movie,kampuni au nini hasa!
Seems Tanzanian's are so gullible.Are you expecting us to believe this bullshit?
na si kama mdhaniavo
Na hilo je nalo ni tangazo???
Duh!!! sasa hilo litakuwa tangazo au movie?? Maana wanashoot ajali imetokea makumbusho then Kibonde kasepa hadi Mwenge then akakamatwa na akafanikiwa kusepa tena mpaka mwenge,, I think hili tangazo litakuwa na episodes kama lile la Guinness Bear la Michael Power!!
Note: Huu upuuzi wako peleka kwingine sio humu, waweza peleka kwenye viblog vyenu uchwara huko!!
Na hilo je nalo ni tangazo???
Lock up gn hyo watuhumiwA wamevaa viatu, Haf ni nani mwenyew uwezo Wa kupiga picha lock up?? Labd km ni askar mwnyw bt Bado haiingii akilin
Huyo michael power yupo wapi alikua anapendeza kwenye yale matangazo
Shika adabu yako
Watu wasiokuwa na faida duniani wakifa ni lazima niende buchani kununuwa figo na maini ili nile rost ya kushangilia