Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ushahidi wa askari kutukanwa?
Hi wewe unawashwa uko nyuma? Gadner ndio alikuwa dereva? hata hufanyaje watu hawana time na Gardener kwa sababu hana mashauzi na kujifanya kila kitu anajuwa.Walikuwa na Garden Habash JD mbona mmemshupalia yeye tu....sisapport alichofanya lakini hakuna sababu ya kuweka chunvi.....hapa
Pole kibonde
Hi wewe unawashwa uko nyuma? Gadner ndio alikuwa dereva? hata hufanyaje watu hawana time na Gardener kwa sababu hana mashauzi na kujifanya kila kitu anajuwa.
Kama Kibonde ni bwana wako akitoka lupango mtumie link ya thread hii asome comments zote kisha ajitafakari, hajachelewa bado anao muda wa kubadilika akachukuwe kozi ya kubadili tabia na hulka kwa Mwigulu Nchemba.
Wamekumbuka kumpa vidonge vyake huyu..maana yuko kwenye dozi ya mbaazi
Trafki aliyemkamata apewe tuzo jamaa anajidaigi yuko perfect
Walikuwa na Garden Habash JD mbona mmemshupalia yeye tu....sisapport alichofanya lakini hakuna sababu ya kuweka chunvi.....hapa
Naomba mahakama ya mwanzo wasimpe dhamana kabisa maana alikusudia kuua na kuteka polisi.
ndani ya lockup ya ostabay,maskini celebrity wetu
Hii picha imepigwa na nani? hahaha
Hakuna selo hapa!Yani mtuhumiwa yuko selo ana viatu na kila kitu daaa! Hili ni igizo kabisa ...........
Hiyo ndio safii maana analeta umaarufu wakati kafanya uhalibifuu.xasi police kwa kumfunza adabu lakini kuweni makini ni mgonjwa alie jizira huyoooo
Wamekumbuka kumpa vidonge vyake huyu..maana yuko kwenye dozi ya mbaazi
ohooo,unyanyapaa huo.