barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
tangazo hilo la kwenye tv
Nami nimesikia hivyo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tangazo hilo la kwenye tv
Kibonde ni public figure. Kwani kawakoseeni kitu gani mbona chuki sasa?
We mwenzako anaombwa ---- saa hizi halafu unasema ni tangazo?
Haya, na hapo lupango ananyea debe pia ni tangazo?
Isipowekwa kwenye top 10 ya amplifaya .. Namkataa na millard pia
Ndio tangazo linaanzia barabarani hadi lockup
Ee bwana wanasema testing a dose of your own medicine, kudadadeki hadi Jumatatu!
![]()
Jamaa kama mjasiri amali, hili alitoe kama tangazo la mchepuko! Kibonde alisahau kama mchepuko siyo dili!
Hiyo picha hapo juu ni kuigiza kweli??? Mbona epuka michepuko kachukia hivyo???Mbona nasikia ni tangazo tu wote walikuwa wanaigiza tu mkuu!
Tafakari halafu baadaye unaweza muelewa mtoa mada ukiunganisha na suala la Kibonde kuvunja sheria kwa makusudi