msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,734
Umejifunza nini na unatoa ushauri gani kwake kwa tukio la kufanya ajali na kukaidi amri ya polisi? Na Kibonde huyu ndiye yupo mstari wa mbele kwenye matangazo ya utii wa sheria bila shurti katika usalama barabarani!
Allah hamfichi mnafiq