sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,847
Wamepanga nyumba nzuri sawa.... Mbona gari mbaya ivo? Kama chuma chakavu au tax za dodoma mweee
watu wanatofautiana bwana....kuna watu wana mijengo ya maana ila ukiangalia gari zao utachoka.......na kuna watu wana magari ya maana ukiangalia mijengo yao......utakaa uamini.......